• Nairobi
  • Last Updated April 20th, 2024 1:51 PM

Biden asema nchi yake imepiga hatua kiuchumi

NA MASHIRIKA WASHINGTON D.C., AMERIKA RAIS wa Amerika, Joe Biden, amesifu utawala wake akisema ameweza kutekeleza baadhi ya ahadi...

Idadi ya waliouawa na magaidi Nigeria yaongezeka hadi 102

NA MOHAMMED MOMOH, THE EAST AFRICAN ABUJA, NIGERIA TAKRIBAN wanachama 102 wa kikundi cha walinzi wa ndani na raia wameuawa na magaidi...

Walioangamia kwenye tetemeko wafika 8,100

ADANA, UTURUKI Na MASHIRIKA IDADI ya wahanga walioangamia kwenye tetemeko kubwa la ardhi Kaskazini Mashariki mwa Syria na Uturuki imefika...

Watu 2,600 waaga dunia baada ya tetemeko kutokea nchini Syria na Uturuki

NA MASHIRIKA ADANA, UTURUKI ZAIDI ya watu 2,600 wamefariki Jumatatu huku maelfu wakijeruhiwa baada ya tetemeko kubwa la ardhi kulikumba...

Papa Francis akamilisha ziara yake Sudan Kusini

Na AFP JUBA, SUDAN KUSINI PAPA Francis jana Jumapili alikamilisha ziara yake nchini Sudan Kusini kwa kuongoza ibada kubwa ya wazi baada...

Papa ahimiza Rais Kiir, Machar kulinda amani

NA AFP JUBA, SUDAN KUSINI KIONGOZI wa Kanisa Katoliki Ulimwenguni Papa Francis ametoa wito kwa viongozi wa Sudan Kusini kuweka “mwanzo...

Putin awazia kutumia ‘silaha zisizo za kawaida’ vitani

NA MASHIRIKA VOLOGRAD, URUSI RAIS Vladimir Putin wa Urusi amesema kuwa historia inajirudia katika vita vinavyoendelea baina nchi yake na...

Papa Francis ahubiri msamaha, maridhiano

NA MASHIRIKA KINSHASA, DRC KIONGOZI wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis, mnamo Jumatano aliwasihi raia wa Congo kuwasamehe wale...

Papa Francis aanza ziara yake rasmi Afrika

Na MASHIRIKA KINSHASA, DRC PAPA Francis ameanza rasmi ziara yake ya siku sita katika nchi za Afrika. Kiongozi huyo wa Kanisa la Katoliki...

Idadi ya waliokufa kwa bomu yafika 95

NA XINHUA ISLAMABAD, PAKISTAN IDADI ya watu waliofariki kwenye shambulio la kigaidi lililotekelezwa na mshambuliaji wa kujitoa mhanga...

Biden akataa kutuma ndege za kivita nchini Ukraine

NA XINHUA WASHINGTON, AMERIKA RAIS wa Amerika, Joe Biden, amekataa kuidhinisha kutumwa kwa ndege za kivita za F-16 nchini...

Waisraeli sasa kupewa bunduki ili wajilinde

NA MASHARIKI JERUSALEM, ISRAELI WAZIRI Mkuu wa Israeli Benjamin Netanyahu ametangaza mpango wa kurahisisha taratibu za Waisraeli kumiliki...