NA MASHIRIKA MFALME wa Uingereza Charles III amesema alihisi "uzito wa historia" na akaapa kufuata mfano uliowekwa na marehemu mama...
NA MASHIRIKA MOGADISHU, SOMALIA JESHI la Kitaifa la Somalia (SNA) linaloungwa mkono na wanamgambo wa eneo hilo wanaoitwa Ma'awisley...
NA MASHIRIKA KYIV, UKRAINE VIKOSI ya Urusi vimejiondoa katika miji muhimu mashariki mwa Ukraine, huku vikosi vya Ukraine vikiendelea...
NA TOM MATOKE JAMII ya Nandi imemwomba Mfalme Charles III kufanikisha kurejeshwa nchini kwa fuvu la kichwa cha kiongozi wao wa...
MASHIRIKA na WINNIE ONYANDO MWANAMFALME Charles III anatarajiwa kutawazwa rasmi leo kumrithi Malkia Elizabeth aliyega dunia...
NA CECIL ODONGO KIFO cha Malkia Elizabeth II kimetonesha vidonda vya nchi nyingi za Afrika zilizoathiriwa na ukatili wa utawala wa...
NA MASHIRIKA LONDON, UINGEREZA VIONGOZI kote ulimwenguni wameungana kuomboleza kifo cha Malkia Elizabeth wa Uingereza ambaye alifariki...
NA THE EASTAFRICAN BUJUMBURA, BURUNDI RAIS Evariste Ndayishimiye ametimua waziri mkuu wa nchi hiyo huku akidai kuwa kuna njama ya...
NA MASHIRIKA KHARTOUM, Sudan WATU saba wameauawa katika mapigano mapya ya kikabila yaliyotokea kusini mwa jimbo la Blue Nile, shirika...
NA MASHIRIKA KHARTOUM, SUDAN ZAIDI ya watu 100 wameuawa na maelfu ya wengine kuachwa bila makao kutokana na mafurika yaliyosababishwa...
NA MASHIRIKA LONDON, Uingereza RAIA wa Uingereza watajua waziri mkuu wao atakayerithi Boris Johnson, Jumatatu, wiki ijayo. Waziri...
NA MASHIRIKA NEW YORK, AMERIKA UMOJA wa Mataifa (UN) umetuma kikosi maalum kuchunguza na kufuatilia hali inavyoendelea katika Kituo...