• Nairobi
  • Last Updated April 18th, 2024 9:15 PM

Faini ya Sh850,000 kwa kufichua hali ya HIV ya mwenzake katika WhatsApp

NA PHILIP MUYANGA Jopo la mahakama linaloshughulikia kesi kuhusu virusi vya ukimwi (HIV and Aids Tribunal) limeamuamuru mwanamme mmoja...

Maombi mabaya ya Karen Nyamu dhidi ya Man U yaonekana kujibiwa

Na MWANGI MUIRURI Mnamo Agosti 10, Seneta matata Bi Karen Nyamu alijitokeza akiombea Man United msimu mbaya wa 2023/24 na kwa sasa, ni...

Wezi wanaolenga maduka ya bidhaa za kula na za matumizi nyumbani Mwihoko, Kiambu

NA NYABOGA KIAGE JAMBAZI ambaye ni miongoni mwa genge linalohangaisha wahudumu wa maduka ya bidhaa za kula eneo la Mwihoko, Kiambu ameuawa...

Magavana wageuka kuwa ‘miungu’ badala kuwa watumishi

NA JUSTUS OCHIENG IWAPO ugatuzi ulitarajia kuwepo kwa magavana watumishi wanaofanya kazi na wananchi vijijini na kuwasaidia kuamua miradi...

Silvanus Osoro asema akistaafu siasa atakuwa Pasta

NA SAMMY WAWERU MBUNGE wa Mugirango Kusini, Silvanus Osoro amehoji kwamba akistaafu ulingo wa siasa atarejea kanisani kueneza injili....

Gachagua: Ninaweza kufundisha Kiingereza katika Shule ya Upili

NA SAMMY WAWERU NAIBU Rais Rigathi Gachagua amesema anajiamini kufunza Somo la Kiingereza na Fasihi (Literature) katika shule ya upili,...

Tanzia: Watu 6 wafariki asubuhi ya harusi

NA SIMON CIURI [email protected] WANAWAKE watano na mtoto mmoja wameaga dunia baada ya simiti iliyokuwa imefunika kisima...

Pigo kwa wahubiri YouTube ikitangaza kufutilia mbali video za ‘maombi ya uponyaji kansa’

Na WANGU KANURI HUENDA ukawa umepatana na video za maombi ya uponyaji katika mtandao wa kijamii haswa YouTube unapopekua. Video hizi...

Huenda Mandago alichokoza nyuki kabla ya kukamatwa kwake, kwa kushtaki Murkomen kwa Riggy G

NA SAMMY WAWERU SENETA wa Kaunti ya Uasin Gishu, Jackson Mandago, alimsihi Naibu Rais Rigathi Gachagua kumshauri Waziri wa Barabara...

Wavuvi 200 walifariki kabla ya kuonja fidia ya Lapsset – Ripoti

NA KALUME KAZUNGU ZAIDI ya wavuvi 200 wa Lamu waliokuwa miongoni mwa 4,734 waliofaa kulipwa fidia ya Sh1.76 bilioni kufuatia athari za...

DK Kwenye Beat asema hapo kwa wash wash humpati

Na SINDA MATIKO MWANAMUZIKI wa injili DK Kwenye Beat amekanusha madai kuwa maisha ya kifahari anayoishi kwa sasa yanatokana na biashara...

Renson Ingonga ateuliwa Mkurugenzi mpya wa Mashtaka ya Umma

RICHARD MUNGUTI na CHARLES WASONGA RAIS William Ruto amemteua Renson Ingonga kuwa Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma (DPP). Sasa jina la...