NA SAMMY KIMATU MKAKATI wa serikali kuhakikisha wanafunzi wote wanaokamilisha elimu ya msingi wanajiunga na sekondari umefeli kwenye...
NA SAM KIPLAGAT JAJI Mugure Thande aliyesimamisha utekelezaji wa Sheria ya Fedha 2023, ni kati ya majaji waliohamishwa Jumanne na Jaji...
NA RICHARD MUNGUTI WAHUBIRI wawili wamehukumiwa kifungo cha idadi jumla ya miaka 151 jela kwa kuwadhulumu kimapenzi watoto wa umri...
NA RICHARD MUNGUTI RAIA wa Ujerumani Thomas Scheller amefungwa jela miaka 81 baada ya kupatikana na hatia ya kuwadhulumu kimapenzi...
NA BRIAN OCHARO MAHAKAMA ya Mombasa imewataka maafisa wawili wakuu wa polisi waliochunguza kesi dhidi ya Bw Elsek Osman, raia wa Uturuki...
NA PHILIP MUYANGA MAHAKAMA Kuu imezima kwa muda uamuzi wa kuwashtaki maafisa watano wa polisi kwa madai ya kumuua mhudumu wa bodaboda...
NA MWANGI MUIRURI MWANASIASA wa Kaunti ya Murang'a Bw Lawrence Munga amejitokeza kutangaza kwamba ni sonko wa ajabu ambaye hata mvinyo...
NA MWANGI MUIRURI MWANAMUME kutoka Kaunti ya Murang'a ameenda mafichoni baada ya kuchinja watoto wake wawili wa kiume, wenye umri wa...
NA WYCLIFFE NYABERI BAADHI ya viongozi wa kanisa kutoka Kisii wamezidisha wito wa kutaka Rais William Ruto na kiongozi wa Azimio la...
NA LUCY MKANYIKA SERIKALI ya Kaunti ya Taita Taveta, imelalamikia jinsi utatuzi wa masuala tata kati yake na serikali ya kitaifa kuhusu...
NA MWANGI MUIRURI HAKIMU Mwandamizi Mahakama ya Kenol Bi Sheila Nyagah ametoa onyo kali kwa walanguzi wa mihadarati pamoja na wachuuzi wa...
NA MWANGI MUIRURI MZOZO kati ya makundi mawili ya makahaba Thika umetokota, yakisemekana kuzozania bei ya huduma wanazotoa. Mvutano...