NA STEVE OTIENO KIONGOZI wa Wiper Kalonzo Musyoka amewekwa chini ya kizuizi cha nyumbani tangu Jumanne wiki hii, amesema Mbunge wa...
NA TITUS OMINDE BI Mayuriben Manilal, mjane wa Rafji Manilal, akitoa ushahidi dhidi ya mwanamke ambaye anadai kuwa mke mwenza ameeleza...
KARIM RAJAN Na WINNIE ATIENO KINARA wa Muungano wa Azimio la Umoja One Kenya, Bw Raila Odinga, amesema hataki kumegewa nusu mkate na...
NA LAWRENCE ONGARO SERIKALI ya Japan imesaidia katika hatua muhimu ya kuzindua maabara mpya ya utafiti katika wa malaria katika Chuo...
Na SAMMY KIMATU MAKABILIANO makali kati ya maafisa wa polisi na waandamanaji yalisababisha shughuli kusimama katika tarafa ya South B...
NA MAUREEN ONGALA AFISA wa kike katika serikali ya Kilifi ameuawa kwa kudungwa na kifaa cha nyumbani leo Alhamisi. Afisa Mkuu wa...
Na MASHIRIKA ARSENAL waliimarisha safu yao ya ulinzi kwa kujinasia maarifa ya beki Jurrien Timber kutoka Ajax ya Uholanzi kwa Sh6.3...
NA MWANGI MUIRURI MAAFISA wa polisi waliweka vizuizi vya barabara katika miji ya Murang'a na Kabuta ili kumzuia aliyekuwa Gavana wa...
NA MWANDISHI WETU SERIKALI imesema kwamba swala la kupanda kwa gharama ya maisha si tatizo la Kenya peke yake kwani hata mataifa mengine...
NA MWANGI MUIRURI MWANAMUME mmoja wa kutoka kijiji cha Kamahuha aliangua kilio mahakamani Julai 18, 2023 alipopigwa faini ya Sh800,000...
NA SIAGO CECE WANAFUNZI kutoka eneo la Pwani walipata fursa ya kuonyesha vipaji vyao katika tamasha za muziki zilizoandaliwa katika ukumbi...
NA MWANGI MUIRURI WAKURUGENZI wa mradi wa mashamba ya Embakasi sasa wamemkosoa Rais William Ruto kwa madai ya kukiuka maagizo ya...