• Nairobi
  • Last Updated April 25th, 2024 8:55 PM

Kalonzo amewekwa chini ya kizuizi cha nyumbani – Wandayi

NA STEVE OTIENO KIONGOZI wa Wiper Kalonzo Musyoka amewekwa chini ya kizuizi cha nyumbani tangu Jumanne wiki hii, amesema Mbunge wa...

Mjane wa Kihindi apinga mwanamke wa Kiafrika kurithi mali

NA TITUS OMINDE BI Mayuriben Manilal, mjane wa Rafji Manilal, akitoa ushahidi dhidi ya mwanamke ambaye anadai kuwa mke mwenza ameeleza...

Raila asema mkate wa Kenya Kwanza umeoza

KARIM RAJAN Na WINNIE ATIENO KINARA wa Muungano wa Azimio la Umoja One Kenya, Bw Raila Odinga, amesema hataki kumegewa nusu mkate na...

Japan yashirikiana na Kenya kuzindua kituo cha utafiti wa malaria chuoni MKU

NA LAWRENCE ONGARO SERIKALI ya Japan imesaidia katika hatua muhimu ya kuzindua maabara mpya ya utafiti katika wa malaria katika Chuo...

Maafisa watibua njama ya wahuni kuteketeza kituo cha polisi

Na SAMMY KIMATU MAKABILIANO makali kati ya maafisa wa polisi na waandamanaji yalisababisha shughuli kusimama katika tarafa ya South B...

Tanzia: Afisa wa serikali ya Kilifi auawa kwa kudungwa kisu nyumbani

NA MAUREEN ONGALA AFISA wa kike katika serikali ya Kilifi ameuawa kwa kudungwa na kifaa cha nyumbani leo Alhamisi. Afisa Mkuu wa...

Beki Jurrien Timber aimarisha safu ya ulinzi kambini mwa Arsenal

Na MASHIRIKA ARSENAL waliimarisha safu yao ya ulinzi kwa kujinasia maarifa ya beki Jurrien Timber kutoka Ajax ya Uholanzi kwa Sh6.3...

Maandamano: Jinsi polisi walivyozima mkakati wa Mwangi Wa Iria

NA MWANGI MUIRURI  MAAFISA wa polisi waliweka vizuizi vya barabara katika miji ya Murang'a na Kabuta ili kumzuia aliyekuwa Gavana wa...

Wakenya tulieni tuko na ‘plan’, asema Alfred Mutua

NA MWANDISHI WETU SERIKALI imesema kwamba swala la kupanda kwa gharama ya maisha si tatizo la Kenya peke yake kwani hata mataifa mengine...

Mwanamume aliyepatikana na bangi aangua kilio kwa kutozwa faini ya Sh800,000

NA MWANGI MUIRURI MWANAMUME mmoja wa kutoka kijiji cha Kamahuha aliangua kilio mahakamani Julai 18, 2023 alipopigwa faini ya Sh800,000...

Jinsi wanafunzi wa Chadwick walivyonogesha tamasha za muziki kanda ya Pwani

NA SIAGO CECE WANAFUNZI kutoka eneo la Pwani walipata fursa ya kuonyesha vipaji vyao katika tamasha za muziki zilizoandaliwa katika ukumbi...

Ruto akosolewa kupeana hatimiliki kwa wanahisa Embakasi Ranching

NA MWANGI MUIRURI WAKURUGENZI wa mradi wa mashamba ya Embakasi sasa wamemkosoa Rais William Ruto kwa madai ya kukiuka maagizo ya...