• Nairobi
  • Last Updated April 16th, 2024 8:55 AM

Tanzia: Mbunge Mary wa Maua apoteza meneja wake kupitia ajali Karatina  

Na MWANGI MUIRURI MBUNGE wa Maragua Bi Mary wa Maua aliongoza wenyeji kuomboleza kifo cha Meneja wa afisi yake, Bw Kennedy...

Wawili wakamatwa wakisafirisha bangi yenye thamani ya Sh900, 000

NA MERCY KOSKEI WASHUKIWA wawili waliokuwa wakisafirisha misokoto 50 ya bangi inayokadiriwa kuwa na thamani ya sh900, 000 walikamatwa...

Mwanamume adaiwa kulawiti vijana wanne mjini Kilifi

NA MAUREEN ONGALA POLISI Kilifi wanachunguza kisa ambapo mwanamume mmoja anadaiwa kuwalawiti wavulana wadogo. Rekodi zinaonyesha...

Marufuku kuvaa minisketi Bungeni

NA DAVID MWERE SPIKA wa Bunge la Kitaifa Moses Wetang’ula amewataka wabunge wadumishe hadhi ya Bunge kwa kuvaa mavazi rasmi tena ya...

Nakhumicha azitaka hospitali zisiwafukuze wagonjwa wanaotegemea NHIF

NA DERICK LUVEGA WAZIRI wa Afya Susan Nakhumicha amesema Bima ya Kitaifa ya Matibabu (NHIF) inafanya kazi baada ya Wizara ya Fedha...

Waislamu wavutana na walioweka sanamu mbele ya msikiti

NA ALEX KALAMA MUUNGANO wa viongozi wa dini ya Kiislamu mjini Malindi umetoa wito kwa serikali ya Kaunti ya Kilifi kuziondoa sanamu za...

Amadi apata afueni mahakama ikiagiza akaunti zake za benki zifunguliwe

NA SAM KIPLAGAT MSAJILI Mkuu wa Idara ya Mahakama Anne Amadi ambaye amejipata pabaya akihusishwa na sakata ya dhahabu, amepata afueni...

Gaucho afichua aliitunuka familia ya Raila nakala tatu za Biblia iliyoandikwa kwa Kiswahili

NA WINNIE ONYANDO RAIS wa Bunge la Mwananchi Calvine Okoth almaarufu 'Gaucho' amefichua kwamba amewahi kuipelekea familia ya Kiongozi wa...

Kitendawili cha kifo cha Jeff Mwathi kuteguliwa kuanzia Agosti 10

NA RICHARD MUNGUTI UCHUNGUZI wa kubaini kilichosababisha kifo cha mwanafunzi Jeff Mwathi aliyekuwa akisomea upambaji katika taasisi ya...

Mfanyabiashara ashtakiwa kwa wizi wa mbolea ya Sh6 milioni

NA RICHARD MUNGUTI MFANYABIASHARA ameshtakiwa kwa kula njama za kuiba mbolea kiasi kinachofika magunia 5,000 yenye thamani ya Sh27.8...

Wito watafiti washirikiane na idara za afya kuongoza uundaji wa sera bora

MKAMBURI MWAWASI Na JURGEN NAMBEKA WASHIKADAU wa sekta ya afya Pwani wamewataka watafiti wa sekta mbalimbali kushirikisha idara za afya za...

Ajenti wa safari za ng’ambo ashtakiwa kwa ulaghai wa Sh80,000

NA RICHARD MUNGUTI AJENTI wa kusaidia watu kutembelea mataifa ya ng’ambo ameshtakiwa kwa ulaghai wa Sh80,000. Mark Tiapet Njenga...