NA ALEX KALAMA MSHIRIKISHI wa Pwani Rhoda Onyancha amesema awamu ya pili ya upasuaji wa maiti za wahanga waliofariki dunia baada ya...
NA ALEX KALAMA MAAFISA wanaoendeleza operesheni ya kufukua makaburi ili kutoa miili ya watu waliozikwa katika hali tatanishi kwenye...
NA TITUS OMINDE MFANYIBIASHARA mmoja mjini Eldoret anayekabiliwa na kesi ya ulanguzi wa dawa za kulevya, amekamatwa tena kwa kupatikana...
NA CHARLES WASONGA MASENETA mnamo Jumatano, Mei 17, 2023 walimlaumu Gavana wa Kirinyaga Anne Waiguru kwa kutofuatilia kwa makini...
NA KALUME KAZUNGU MAAFISA wa polisi wamemtia mbaroni mwanafunzi wa Kidato cha Tatu katika Shule ya Upili ya Faza iliyoko Lamu ambaye...
Na RICHARD MUNGUTI BINTI aliyemtukana baba yake matusi nyeusi kabla ya kuwafungia nje ya makazi yao jijini Nairobi amefikishwa...
Na RICHARD MUNGUTI TAPELI aliyejifanya polisi na kupora dereva wa teksi simu na Sh1, 300 kabla ya kuchana mbuga amefikishwa...
NA LAWRENCE ONGARO ILI kudhibiti uuzaji wa pombe za mvinyo, naibu kamishna wa kaunti ndogo ya Juja Bw Charles Mureithi amepiga marufuku...
Na RICHARD MUNGUTI MWANAUME aliyedai fidia ya Sh1.9 milioni kwa njia ya vitisho ameshtakiwa. Benson Gathua ameshtakiwa kushirikiana...
Na RICHARD MUNGUTI MZEE wa Kimasai ameshtakiwa kwa ulaghai wa shamba la Sh1.5 bilioni katika mtaa wa kifahari wa Karen,...
NA MARY WANGARI SENETI imewaamuru magavana wawili kufika mbele yake kwa kile inachotaja kama kukosa heshima na kudharau kamati za Seneti...
NA CHARLES WASONGA NAIBU Rais Rigathi Gachagua mnamo Jumamosi aliendelea kutetea mtindo wa kupendelea makabila fulani katika teuzi za...