• Nairobi
  • Last Updated March 29th, 2024 11:38 AM

Shakahola: Awamu ya pili ya upasuaji maiti kuanza Mei 24

NA ALEX KALAMA  MSHIRIKISHI wa Pwani Rhoda Onyancha amesema awamu ya pili ya upasuaji wa maiti za wahanga waliofariki dunia baada ya...

Idadi ya waliothibitishwa kufariki Shakahola yagonga 235

NA ALEX KALAMA  MAAFISA wanaoendeleza operesheni ya kufukua makaburi ili kutoa miili ya watu waliozikwa katika hali tatanishi kwenye...

Mlanguzi sugu wa dawa za kulevya aliyelemea askari

NA TITUS OMINDE MFANYIBIASHARA mmoja mjini Eldoret anayekabiliwa na kesi ya ulanguzi wa dawa za kulevya, amekamatwa tena kwa kupatikana...

Waiguru alaumiwa kwa kuachilia kampuni ya maji ya Kirinyaga kupata hasara

NA CHARLES WASONGA MASENETA mnamo Jumatano, Mei 17, 2023 walimlaumu Gavana wa Kirinyaga Anne Waiguru kwa kutofuatilia kwa makini...

Mwanafunzi aliyemuua mwenzake kwa kisu akamatwa Lamu

NA KALUME KAZUNGU MAAFISA wa polisi wamemtia mbaroni mwanafunzi wa Kidato cha Tatu katika Shule ya Upili ya Faza iliyoko Lamu ambaye...

Msichana aliyetukana wazazi wake matusi mazito na kuwafungia nje usiku ashtakiwa

Na RICHARD MUNGUTI BINTI aliyemtukana baba yake matusi nyeusi kabla ya kuwafungia nje ya makazi yao jijini Nairobi amefikishwa...

Aliyejifanya askari na kutapeli dereva kizimbani

Na RICHARD MUNGUTI TAPELI aliyejifanya polisi na kupora dereva wa teksi simu na Sh1, 300 kabla ya kuchana mbuga amefikishwa...

Polisi Juja wakatazwa kuuza pombe

NA LAWRENCE ONGARO ILI kudhibiti uuzaji wa pombe za mvinyo, naibu kamishna wa kaunti ndogo ya Juja Bw Charles Mureithi amepiga marufuku...

Mshukiwa wa ujambazi ashtakiwa kwa kudai fidia ya Sh1.9 milioni

Na RICHARD MUNGUTI MWANAUME aliyedai fidia ya Sh1.9 milioni kwa njia ya vitisho ameshtakiwa. Benson Gathua ameshtakiwa kushirikiana...

Mzee ashtakiwa kwa ulaghai wa shamba la mabilioni Nairobi

Na RICHARD MUNGUTI MZEE wa Kimasai ameshtakiwa kwa ulaghai wa shamba la Sh1.5 bilioni katika mtaa wa kifahari wa Karen,...

Sakaja na Kihika wamulikwa kwa ‘kudharau’ Seneti

NA MARY WANGARI SENETI imewaamuru magavana wawili kufika mbele yake kwa kile inachotaja kama kukosa heshima na kudharau kamati za Seneti...

Rigathi atetea ukabila katika uteuzi serikalini

NA CHARLES WASONGA NAIBU Rais Rigathi Gachagua mnamo Jumamosi aliendelea kutetea mtindo wa kupendelea makabila fulani katika teuzi za...