• Nairobi
  • Last Updated March 29th, 2024 7:50 AM

Omanga ‘amcheka’ Raila kwa kutishia kumshtaki Rais

NA MWANDISHI WETU    WAZIRI Msaidizi mteule Millicent Omanga amemsuta kinara wa Azimio, Raila Odinga kufuatia tishio lake kumshtaki...

Raila aapa kuandaa maandamano licha ya onyo la serikali

NA SAMMY WAWERU KINARA wa Azimio Raila Odinga ameshikilia kwamba maandamano yaliyopangwa kufanyika jijini Nairobi mnamo Jumatatu wiki...

Mbunge Alice Ng’ang’a alivyopendeza kwa kuvaa sare ya shule mpya ya Jamhuri iliyoko mjini Thika

NA LAWRENCE ONGARO SHULE mpya ya upili ya Jamhuri Secondary School imezinduliwa kwa lengo la kusaidia wanafunzi wengi ambao hukosa...

Lopha Travellers yamulikwa abiria aliyerushwa nje basi likiwa mwendo wa kasi akifariki

NA SAMMY WAWERU WAKENYA wamemshinikiza Waziri wa Uchukuzi, Kipchumba Murkomen kuchukulia hatua kali kampuni ya Lopha Travellers Sacco...

Jinsi ndoa 55 zilivyonoga kwa hafla ya pamoja

NA WACHIRA MWANGI WANANDOA jozi 55 kutoka kaunti mbalimbali nchini Jumatano walifunga pingu za maisha katika Ukumbi wa Kijamii wa...

Mahakama yaharamisha bomoabomoa za kiholela

NA PHILIP MUYANGA MAHAKAMA imeamua kuwa ubomoaji wa majengo kiholela wakati wa mizozo ya umiliki wa ardhi ni hatia. Katika uamuzi ambapo...

Wabunge wataja ruzuku ya bei ya unga wakati wa Uhuru kuwa ni sakata

NA CHARLES WASONGA  WABUNGE Jumanne, walitaja mpango wa ruzuku ya unga wa mahindi ulioanzishwa na Rais Uhuru Kenyatta siku chache kabla...

Hospitali ya Thika Level 5 yapokea dawa za Sh10 milioni

NA LAWRENCE ONGARO HOSPITALI ya Thika Level 5 imepata afueni baada ya kupokea dawa za thamani ya Sh10 milioni. Waziri wa Afya katika...

Polisi wapoteza bunduki wakijipiga ‘selfie’

NA MWANGI MUIRURI TABIA ya maafisa wa polisi vijana kupenda mitandao ya kijamii sasa inahatarisha taaluma za wakubwa wao katika Eneo la...

Maseneta wa Azimio watishia kuvuruga ajenda za serikali katika Seneti

NA COLLINS OMULO MASENETA wa Azimio sasa wanapanga kusambaratisha ajenda zote za serikali ya Kenya Kwanza zitakazowasilishwa katika seneti...

Shehena ya kwanza ya mahindi ya manjano kutua leo Jumapili

BARNABAS BII Na ANTHONY KITIMO SHEHENA ya kwanza ya mahindi ya manjano inatarajiwa kuingia nchini leo Jumapili. Japo meli hiyo iliyobeba...

Ashtakiwa kwa kumchoma ‘ex’ kwa maji moto

NA RICHARD MUNGUTI MWANAUME ameshtakiwa kumchoma kwa maji moto mkewe waliyetengana. Ezekiel Kikwatha alifunguliwa shtaka la kumuumiza...