NA MWANDISHI WETU WAZIRI Msaidizi mteule Millicent Omanga amemsuta kinara wa Azimio, Raila Odinga kufuatia tishio lake kumshtaki...
NA SAMMY WAWERU KINARA wa Azimio Raila Odinga ameshikilia kwamba maandamano yaliyopangwa kufanyika jijini Nairobi mnamo Jumatatu wiki...
NA LAWRENCE ONGARO SHULE mpya ya upili ya Jamhuri Secondary School imezinduliwa kwa lengo la kusaidia wanafunzi wengi ambao hukosa...
NA SAMMY WAWERU WAKENYA wamemshinikiza Waziri wa Uchukuzi, Kipchumba Murkomen kuchukulia hatua kali kampuni ya Lopha Travellers Sacco...
NA WACHIRA MWANGI WANANDOA jozi 55 kutoka kaunti mbalimbali nchini Jumatano walifunga pingu za maisha katika Ukumbi wa Kijamii wa...
NA PHILIP MUYANGA MAHAKAMA imeamua kuwa ubomoaji wa majengo kiholela wakati wa mizozo ya umiliki wa ardhi ni hatia. Katika uamuzi ambapo...
NA CHARLES WASONGA WABUNGE Jumanne, walitaja mpango wa ruzuku ya unga wa mahindi ulioanzishwa na Rais Uhuru Kenyatta siku chache kabla...
NA LAWRENCE ONGARO HOSPITALI ya Thika Level 5 imepata afueni baada ya kupokea dawa za thamani ya Sh10 milioni. Waziri wa Afya katika...
NA MWANGI MUIRURI TABIA ya maafisa wa polisi vijana kupenda mitandao ya kijamii sasa inahatarisha taaluma za wakubwa wao katika Eneo la...
NA COLLINS OMULO MASENETA wa Azimio sasa wanapanga kusambaratisha ajenda zote za serikali ya Kenya Kwanza zitakazowasilishwa katika seneti...
BARNABAS BII Na ANTHONY KITIMO SHEHENA ya kwanza ya mahindi ya manjano inatarajiwa kuingia nchini leo Jumapili. Japo meli hiyo iliyobeba...
NA RICHARD MUNGUTI MWANAUME ameshtakiwa kumchoma kwa maji moto mkewe waliyetengana. Ezekiel Kikwatha alifunguliwa shtaka la kumuumiza...