• Nairobi
  • Last Updated April 16th, 2024 6:55 PM

Waislamu Mlima Kenya watoa wito Wakenya wadumishe upendo na amani

NA LAWRENCE ONGARO JAMII ya Waislamu kutoka Mlima Kenya imewahimiza Wakenya wadumishe amani hasa wakati huu taifa linapoelekea katika...

Ijumaa, Aprili 29 ni sikukuu ya mapumziko Kenya kwa heshima ya Kibaki – Matiang’i

NA CHARLES WASONGA SERIKALI ya Kenya imetawaza Ijumaa, Aprili 29, 2022 kuwa Siku ya Mapumziko ili kutoa nafasi ya kufanyika kwa ibada ya...

TSC kuwatuza walimu wachapakazi

NA WINNIE ONYANDO WIZARA ya Elimu itazindua tuzo kuwatambua walimu wanaotia bidii na kuhakikisha wanafunzi wanapata matokeo...

Arteta akiri hajakuwa akimtendea Nketiah haki kwa kumlisha benchi kambini mwa Arsenal

Na MASHIRIKA MKUFUNZI Mikel Arteta amekiri kuwa “hajakuwa akimtendea haki” fowadi Eddie Nketiah baada ya chipukizi huyo raia wa...

‘ Wajungle’ kuwania ugavana na tikiti ya kujitegemea( Independent)

Na LAWRENCE ONGARO MBUNGE wa Thika, Bw Patrick 'Jungle' Wainaina, amesema atawania kiti cha ugavana wa kaunti ya Kiambu na tikiti ya...

Shujaa kikaangoni ikilenga robo-fainali Vancouver 7s

NA GEOFFREY ANENE TIMU ya taifa ya raga ya Kenya Shujaa itavaana na Amerika, Fiji na Uingereza katika mechi kali za Kundi A kwenye Raga...

Raha muogeleaji Mkenya Kalombo akinyakua dhahabu Afrika Zoni ya Nne

Na GEOFFREY ANENE MACRINE Kalombo alishindia Kenya medali yake ya kwanza ya dhahabu kwenye mashindano ya kuogelea ya Afrika ya Zoni ya...

Wito watu wajiunge na vikundi, vyama vya ushirika kupunguza gharama ya juu ya maisha

NA SAMMY WAWERU WANANCHI wamehimizwa kujiunga na vyama vya ushirika na pia kubuni miungano ili kusaidiana nyakati hizi ngumu kimaisha na...

MAKALA MAALUM: Ulevi ulivyompokonya kazi ya polisi pamoja na familia

WANGU KANURI na LEONARD ONYANGO KILA mara shule zilipofungwa mwishoni mwa muhula, John Mwangi Wakahora, alijawa na bashasha kwani alijua...

Raila na Karua kuzoa asilimia 60 ya kura za Mlima Kenya – Jubilee Kirinyaga

NA MWANGI MUIRURI MWENYEKITI wa chama tawala cha Jubilee katika Kaunti ya Kirinyaga Bw Múríithi Kang'ara amesema kwamba mwaniaji wa...

Misako Makutano

NA MWANGI MUIRURI [email protected] MISAKO mikali dhidi ya mitandao ya uhalifu imezinduliwa katika mtaa wa Makutano ulio katika...

Sabina Chege asema Karua ana ushawishi wa kuvutia kura nyingi kwa Azimio

NA WACHIRA ELISHAPAN UAMUZI wa kinara wa Narc-Kenya Bi Martha Karua kujiunga na vuguvugu la Azimio la Umoja umepokelewa kwa mbwembwe na...