• Nairobi
  • Last Updated April 23rd, 2024 9:40 PM

Jinsi usalama ungali donda ndugu kwa wanahabari wanaofuatilia habari za ulanguzi wa wanyamapori

Na PAULINE ONGAJI WAHARIRI nchini wamehimizwa kuwasaidia wanahabari ili kuboresha uanahabari unaoangazia ulanguzi wa wanyamapori na...

Wanaopuuza onyo la mafuriko kuhamishwa kwa lazima

STEPHEN ODUOR Na BRIAN OCHARO SERIKALI imeonya kwamba wakulima katika Kaunti ya Tana River ambao wanakaidi ushauri wa mafuriko,...

Mwana aahidi jamii miradi sawa na babake Ogolla

NA BENSON MATHEKA MWANAWE Jenerali Francis Ogolla, Joel Rabuku, ameahidi kuendelea na moyo wa baba yake wa kusaidia jamii kwa kukarabati...

Mwanawe Jenerali Ogolla afichua mali haikumfurisha kichwa CDF

NA MARY WANGARI MISAFARA ya magari ya kifahari na mali aliviona kama ubatili mtupu, marehemu Jenerali Francis Ogolla, atakayezikwa...

Kenya, Uganda zaungana kuboresha utalii

NA NEHEMIAH OKWEMBAH WASHIKADAU katika sekta ya utalii kutoka Kenya na taifa jirani la Uganda wameimarisha mipango ya kuboresha uhusiano...

Nyota Kaka alivyoachwa na mke kwa kuwa ‘mzuri kupindukia’

Na CHRIS ADUNGO CAROLINE Celico, ambaye ni mke wa zamani wa aliyekuwa mwanasoka matata wa Real Madrid na timu ya taifa ya Brazil, Ricardo...

Watoto wa bodaboda walivyonufaika na udhamini wa masomo

NA FRIDAH OKACHI KAMPUNI ya kufadhili mali kwa njia ya mkopo ya Watu Credit, itafadhili masomo ya watoto ambao wazazi wao ni wahudumu wa...

Spika alazimika kushuka chini na kuomba Waislamu msamaha

NA WINNIE ONYANDO SPIKA wa Bunge la Kaunti ya Nairobi, Kennedy Ng’ondi amelazimika kuwaomba msamaha viongozi wa dini la Kiislamu nchini...

Fowadi wa Arsenal mashakani baada ya jibwa lake kumng’ata kocha  

Na CHRIS ADUNGO FOWADI wa Arsenal, Reiss Nelson, ameshtakiwa na kocha wake binafsi wa viungo anayedai kwamba jibwa la Kiitaliano...

Jowie azidi kupambana kubatilisha hukumu ya kifo

Na BRIAN OCHARO JOSEPH Kuria Irungu almaarufu Jowie, aliyehukumiwa kifo kwa mauaji ya mfanyabiashara Monicah Kimani jijini Nairobi,...

Mvuvi aliyefariki akisubiria fidia ya Lapsset

NA KALUME KAZUNGU KISA ambapo mvuvi alikufa maji katika Bahari Hindi eneo la Lamu mnamo Jumatano, kimeibua upya wito wa wavuvi kulipwa...

Duale, Sakaja wavutania matumizi ya bustani za Central na Uhuru

NA WINNIE ONYANDO GAVANA wa Nairobi Johnson Sakaja na Waziri wa Ulinzi, Aden Duale sasa wanavutania matumizi ya bustani za Central na...