• Nairobi
  • Last Updated April 25th, 2024 10:21 AM

Watoto wa bodaboda walivyonufaika na udhamini wa masomo

NA FRIDAH OKACHI KAMPUNI ya kufadhili mali kwa njia ya mkopo ya Watu Credit, itafadhili masomo ya watoto ambao wazazi wao ni wahudumu wa...

Spika alazimika kushuka chini na kuomba Waislamu msamaha

NA WINNIE ONYANDO SPIKA wa Bunge la Kaunti ya Nairobi, Kennedy Ng’ondi amelazimika kuwaomba msamaha viongozi wa dini la Kiislamu nchini...

Fowadi wa Arsenal mashakani baada ya jibwa lake kumng’ata kocha  

Na CHRIS ADUNGO FOWADI wa Arsenal, Reiss Nelson, ameshtakiwa na kocha wake binafsi wa viungo anayedai kwamba jibwa la Kiitaliano...

Jowie azidi kupambana kubatilisha hukumu ya kifo

Na BRIAN OCHARO JOSEPH Kuria Irungu almaarufu Jowie, aliyehukumiwa kifo kwa mauaji ya mfanyabiashara Monicah Kimani jijini Nairobi,...

Mvuvi aliyefariki akisubiria fidia ya Lapsset

NA KALUME KAZUNGU KISA ambapo mvuvi alikufa maji katika Bahari Hindi eneo la Lamu mnamo Jumatano, kimeibua upya wito wa wavuvi kulipwa...

Duale, Sakaja wavutania matumizi ya bustani za Central na Uhuru

NA WINNIE ONYANDO GAVANA wa Nairobi Johnson Sakaja na Waziri wa Ulinzi, Aden Duale sasa wanavutania matumizi ya bustani za Central na...

Serikali yapiga marufuku mikutano ya kisiasa Uhuru Park katika hatua ya kihistoria

Na COLLINS OMULO SERIKALI sasa haitaruhusu mikutano yoyote ya kisiasa kuandaliwa ndani ya bustani ya Uhuru na Central Park...

Kuolewa kulinisaidia kutoroka mauti msituni Shakahola

NEHEMIAH OKWEMBAH NA VALENTINE OBARA KWA Bi Veronica Amanya, 21, uamuzi wa kuolewa baada ya kuhamia Msitu wa Shakahola na baadhi ya...

MCAs waliovujisha video ya spika ‘akilazimisha’ mwanamke amkumbatie kuitwa kujitetea

NA WINNIE ONYANDO MADIWANI wawili wa Kaunti ya Nairobi watalazimika kufika mbele ya Kamati ya Mamlaka ya Hadhi ya Bunge kueleza ni kwa...

Wafanyabiashara Uganda wagoma kupinga mfumo mpya unaowalazimu kulipa ushuru wa juu

NA MASHIRIKA KAMPALA, UGANDA WAFANYABIASHARA Uganda Jumatano waligoma kupinga utekelezaji wa mfumo mpya ambao utawalazimisha kulipa...

Wasiwasi tanki la petroli likifuka moshi usiku katika kituo cha mafuta

NA ANTHONY KITIMO HOFU ilitanda katika eneo la Saba Saba, Kaunti ya Mombasa baada ya mlipuko kutokea Jumanne usiku katika kituo cha kuuza...

Mwanamume avua nguo na kujitia kitanzi baada ya kugombana na mkewe

Na FLORAH KOECH WAKAZI wa kijiji cha Chemogoch, Eldama Ravine, Kaunti ya Baringo wameshangazwa na kisa cha mwanaume mmoja aliyevua nguo...