• Nairobi
  • Last Updated April 20th, 2024 3:03 PM

Majonzi ya mama aliyepoteza kifungua na kitinda mimba kwenye ajali

Na MERCY KOSKEI FAMILIA moja ya Nakuru inaomboleza vifo vya kifungua na kitinda mimba waliongamia katika ajali ya barabarani iliyoangamiza...

Mvulana wa miaka 14 azuiliwa kwa madai ya kunajisi makinda mawili

NA TITUS OMINDE MAPEMA wiki, hii mahakama ya Eldoret iliamuru kuzuiliwa kwa mvulana mwenye umri wa miaka 14 anayeshukiwa kunajisi watoto...

Mfanyabiashara akana kutoa hundi feki ya mamilioni

NA RICHARD MUNGUTI MFANYABIASHARA alishtakiwa mnamo Jumanne, Aprili 9, 2024 kwa kulipa deni la Sh999,000 akitumia hundi akijua akaunti...

Kukamilika kwa mwezi Mtukufu wa Ramadhani kusiwe mwisho wa ibada

NA JUMA NAMLOLA KWANZA hatuna budi kurejesha shukurani kwa Mwenyezi Mungu (SWT) kwa kutupa nafasi ya kushiriki katika ibada kubwa ya...

Kupigia mbuzi gitaa: Madaktari wapuuza wito wa kurejea kazini kukabili wimbi la nimonia

NA WINNIE ATIENO MADAKTARI katika Kaunti ya Mombasa wamepuuzilia mbali ombi la serikali ya Gavana Abdulswamad Nassir kurudi kazini ili...

Msaada wa MCA wa ‘ambulensi’ ya probox wafaidi wakazi

Na VITALIS KIMUTAI NI kawaida kuona gari aina ya Toyota Probox katika barabara za Kenya na linajulikana kwa matumizi mengi. Gari hilo...

Jeshi litarudisha utulivu wanafunzi warejelee masomo Muhula wa Pili Pokot Magharibi?

NA OSCAR KAKAI SHULE tano ambazo zilifungwa miaka miwili iliyopita kutokana na visa vya utovu wa usalama katika maeneo ya Chesegon na...

Waumini washtuka pasta wao kupigwa risasi kwa madai ya kuwa jambazi sugu

NA KITAVI MUTUA WASHIRIKA wa kanisa moja katika Kaunti ya Kitui, ambalo pasta wake alipigwa risasi na polisi kwenye kwa dai la kuhusika...

Mudavadi ameza ndoano ya UDA

Na JUSTUS OCHIENG RAIS William Ruto anaandaa mpango thabiti wa kuinua Mkuu wa Mawaziri Musalia Mudavadi baada ya kuibuka kuwa waziri huyo...

Familia 2,600 kufurushwa Mukuru-Mariguini kupisha ujenzi wa Nyumba Nafuu

NA SAMMY KIMATU FAMILIA 2,600 katika mtaa wa mabanda wa Mukuru-Mariguini katika tarafa ya South ‘B’, kaunti ndogo ya Starehe...

Mwalimu mwanablogu Kisii alinyongwa – Upasuaji

NA WYCLIFFE NYABERI MWALIMU mwanablogu wa Kisii Duke Nyabaro, 31, ambaye mwili wake ulipatikana ukining'inia nje ya kibanda saa chache...

Wawili watiwa mbaroni kwa kuangamiza msichana na kujeruhi dadake Kisii

NA WYCLIFFE NYABERI POLISI eneo la Nyamache, Kaunti ya Kisii wamewatia mbaroni washukiwa wawili waliovamia nyumba ya Bw Orenge Nyabuto...