• Nairobi
  • Last Updated April 20th, 2024 3:03 PM

Wahubiri wakemea sheria ya kutoza maombi ushuru

NA WYCLIFFE NYABERI BAADHI ya wahubiri na makasisi mjini Kisii wamekerwa na mipango ya serikali ya kaunti hiyo kutoza ushuru makanisa...

Hospitali ya KNH yasema itatupa miili 253 jamaa wasipojitokeza kuichukua

NA MERCY KOSKEI HOSPITALI ya Kitaifa ya Kenyatta (KNH) imetangaza kutupa miili ambayo haijachukuliwa katika vyumba vya kuhifadhi maiti...

Wakazi 2,000 wa Kabati wafurika shuleni Mukerenju kwa matibabu ya bure

NA LAWRENCE ONGARO ZAIDI ya wakazi 2,000 wa Kabati katika Kaunti ya Murang'a walinufaika na matibabu ya bure kupitia mpango uliosimamiwa...

DCI wasaka genge linalovunja magari na kuiba pesa wateja wakitoka benki

NA LABAAN SHABAAN MAKACHERO wa Idara ya Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) wanasaka genge la wezi wanne jijini Nairobi na viunga...

Mwanamuziki Vivian afunguka sababu za ndoa yake na Sam West kuingia doa

NA FRIDAH OKACHI MWANAMUZIKI tajika Vivian Wambui maarufu kama Vivian amefunguka kuhusu sababu za ndoa yake na aliyekuwa mumewe, Sam West,...

Pasta Ezekiel ni mweupe kama pamba, Kamati ya Seneti sasa yaamua

NA WINNIE ATIENO KAMATI ya Seneti inayochunguza vifo vilivyotokea Shakahola, Kaunti ya Kilifi, imemwondolea lawama mhubiri Ezekiel Odero...

Waraibu wa asali wanavyouziwa mchanganyiko wa sukari na mwarubaine na wahuni mitandaoni

NA RICHARD MAOSI WAUZAJI asali kutoka Kajiado na Kitengela wanalalamikia soko la asali kuharibika, kutokana na wafanyabiashara wahuni...

Huyu rafiki ataniambukiza tabia za usagaji?

Nina rafiki na nimekuwa nikishangaa ni kwa nini sijamuona na mwanamume hata siku moja. Nimegundua ni mpenzi wa mwanamke mwenzake. Nachukia...

Wawili wafariki ubomoaji ukichacha mjini Mavoko

NA STANLEY NGOTHO HALI ya taharuki iliendelea kutanda jana katika eneo la Athi River, Kaunti ya Machakos, baada ya waathiriwa wawili wa...

Gavana Ndeti abubujikwa na machozi kuona waathiriwa wa ubomozi Portland wakihangaika

NA FRIDAH OKACHI GAVANA wa Machakos Wavinya Ndeti amemkosoa Rais William Ruto kwa kupuuza ombi lake kusitisha ubomoaji unaoendelea...

Polisi aliyeua mumewe kuzuiliwa kwa siku 14 uchunguzi kufanyika

NA TITUIS OMINDE AFISA wa Polisi kutoka Kitengo cha Askari Tawala (AP) anayeshukiwa kumuua mumewe Mjini Eldoret, kwa kumpiga risasi mara...

Usipozuia handisheki kati ya Ruto na Raila wewe kwisha, Kahiga aambia Gachagua

Na FLORAH KOECH GAVANA wa Nyeri Mutahi Kahiga amesema kuwa kazi kubwa ya Naibu Rais Rigathi Gachagua, ni kuhakikisha Rais William Ruto...