• Nairobi
  • Last Updated April 20th, 2024 1:51 PM

Benki ya Equity yaingia kwa mkataba wa kibiashara na Tatu City

NA LAWRENCE ONGARO BENKI ya Equity imefanya ushirikiano na Tatu City kwa lengo la kuendesha biashara ya ununuzi wa majumba katika eneo...

Mfanyakazi wa hospitali ya Mama Lucy Kibaki asukumwa jela miaka 35 kwa kuuza watoto

NA RICHARD MUNGUTI ALIYEKUWA mfanyakazi wa idara ya huduma za kijamii katika hospitali ya Mama Lucy Kibaki jijini Nairobi mnamo Jumatano...

Watalii wapiga kona baada ya kuona barabara mbovu Mayungu

NA MAUREEN ONGALA MENEJA wa hoteli ya watalii ya Malaika katika eneo la Mayungu mjini Malindi ameeleza kuwa kuwepo kwa barabara mbovu...

Pasta amenitunga mimba kisha akaniruka!

SHANGAZI; Nimekuwa na uhusiano wa kimapenzi na pasta wa kanisa langu. Nina mimba yake lakini amenikana. Hujifanya matakatifu sana na hata...

Mudavadi apokonya Mutua wizara ya Mashauri ya Kigeni kwenye mabadiliko ya hivi punde

Na MWANDISHI WETU Mmoja wa aliovuna pakubwa katika mabadiliko ya hivi punde ya Baraza la Mawaziri yaliyofanywa na Rais William Ruto, ni...

Waziri wa Maji Alice Wahome aapa kushuka na wanaomchimba kisiasa

NA MWANGI MUIRURI WAZIRI wa Maji, Bi Alice Wahome ameapa kuwa atafanya juu chini ikiwemo kupiga siasa ili elinde wadhifa wake. Bi Wahome...

Baba azuiliwa kwa madai ya kupiga na kuua bintiye aliyeshiriki mapenzi

NA VITALIS KIMUTAI POLISI wanachunguza kisa ambapo mwanafunzi wa kike alifariki akitibiwa hospitalini baada ya kuadhibiwa kwa kupigwa kwa...

Ugaidi: Familia yataka jamaa arudishwe nchini

BRIAN OCHARO NA FARHIYA HUSSEIN FAMILIA ya mwanamume Mkenya anayezuiliwa Somalia kwa madai ya kusafirishia kundi la kigaidi la al-Shabaab...

Biden ampigia simu Ruto kumshukuru kwa kutuma polisi Haiti

NA KEVIN CHERUIYOT RAIS wa Amerika, Joe Biden, Jumanne usiku alizungumza kwa simu na Rais William Ruto, ambapo alimshukuru Rais kwa hatua...

Mlalamishi aokolewa kukwepa genge linalohusishwa na washtakiwa wa wizi wa mabavu

NA SAMMY KIMATU MLALAMISHI katika kesi ya wizi wa mabavu aliokolewa na kituo cha Mukuru Promotion Centre (MPC) baada ya kuvamiwa na...

Weledi wa demu wangu chumbani umenitia wasiwasi

SHANGAZI; Kuna jambo limefanya nianze kumshuku mwanamke mpenzi wangu. Ustadi wake chumbani hauna mwingine. Kila tukikutana anakuja na...

Nyaribo kusalia gavana baada ya kura ya kumng’atua kuanguka

NA WYCLIFFE NYABERI  Gavana wa Nyamira Amos Nyaribo ameponea hoja iliyolenga kumng'atua afisini. Hii ni baada ya hoja hiyo...