• Nairobi
  • Last Updated April 25th, 2024 1:47 PM

Mwanamke aangua kilio korti kuamua baba watoto alipie karo, matibabu pekee

NA TITUS OMINDE MWANAMKE  mmoja alisababisha kioja katika mahakama ya hakimu mjini Eldoret Ijumaa, Oktoba 6, 2023 bada ya mahakama...

Waislamu mjini Eldoret wakerwa na kauli ya Papa Francis ya ‘kubariki ndoa za wapenzi wa jinsia moja’

NA FRIDAH OKACHI BAADHI ya viongozi wa dini ya Kiislamu mjini Eldoret katika Kaunti ya Uasin Gishu wameghadhabishwa na hatua ya kiongozi...

Miguna: Ruto ameniacha mataani licha ya kuniomba msamaha mwaka mmoja uliopita

NA LABAAN SHABAAN Wakili Miguna Miguna ameteta kwa serikali ya Rais William Ruto akisema imekosa kutimiza ahadi ya kushughulikia kesi...

Wahisani waombwa kujitokeza kusaidia shule ya watoto viziwi Mwingi

Na BONIFACE KANYALI  Wahadhiri na wanafunzi wa chuo kikuu Cha South Eastern University of Kenya (SEKU), Alhamisi Oktoba 5, 2023 walitoa...

Daktari athibitisha mwanamume aliyefariki baada ya kunywa pombe haramu alikuwa na tatizo la ini

NA SAMMY KIMATU MWANAMUME mwenye umri wa miaka 49 alifariki Alhamisi baada ya kunywa pombe haramu. Kisa hicho kilitokea katika eneo...

Kinaya Nairobi ikipanga kununua maboti kudhibiti athari za El Nino

NA WINNIE ONYANDO NI kinaya kuwa serikali ya Kaunti ya Nairobi inapanga kununua maboti yanayoweza kuruka hewani ili kusaidia kukabiliana...

Nashindwa kuambia mke wangu dadake ni mkora, huenda akasirike

SHANGAZI; Tunaishi mjini na dada ya mke wangu akitafuta kazi. Nimeambiwa amekuwa akileta wanaume nyumbani kwetu. Nahofia nikimwambia mke...

Kipusa Ntalami ashtaki kipindi cha televisheni kutumia picha zake bila idhini

Na FRIDAH OKACHI Mfanyabiashara na soshiolaiti Michelle Ntalami ameishtaki kampuni ya Mnet pamoja na mwigizaji Minne Kariuki kutokana na...

Polisi waokoa msichana aliyetaka kujitia kitanzi kwa kutumia kijivazi cha ndani

NA EVANS JAOLA [email protected] POLISI mjini Kitale wamemuokoa msichana tineja aliyetaka kujitia kitanzi ndani ya seli akitumia...

Wito GSU watumwe Sondu kuzima uhasama wa kikabila na mauaji zaidi

ELIZABETH OJINA NA COLLINS OMULO KUNDI la viongozi sasa linataka maafisa wa kikosi cha GSU watumwe katika eneo linalokumbwa na machafuko...

Bobi Wine anyakwa muda mfupi baada ya kurejea Uganda

NA WANDERI KAMAU CHAMA kikuu cha Upinzani nchini Uganda, Alhamisi, Oktoba 5, 2023 kilisema kuwa  kiongozi wake, Bobi Wine, alikamatwa...

Benki ya Equity yaingia kwa mkataba wa kibiashara na Tatu City

NA LAWRENCE ONGARO BENKI ya Equity imefanya ushirikiano na Tatu City kwa lengo la kuendesha biashara ya ununuzi wa majumba katika eneo...