NA KALUME KAZUNGU MAAFISA wa Jeshi la Ulinzi Kenya (KDF) wamewaua magaidi wawili wa Al-Shabaab baada ya kuvamia maficho yao eneo la...
NA SHABAN MAKOKHA WANAHABARI kutoka Kakamega jana, Jumamosi Septemba 16, 2023 walifurushwa na usimamizi wa shule ya upili ya Sacred...
NA LABAAN SHABAAN MAFUTA ya kupikia kiasi cha lita moja yanauzwa kwa Sh250 hadi takriban Sh400 katika maduka makuu eneo la Ruiru, Kaunti...
NA LAWRENCE ONGARO KUNA haja ya serikali kuangazia na kutatua changamoto ya hali ngumu ya maisha ambayo Wakenya wanapitia baada ya bei...
NA MANASE OTSIALO WATU wanne wameaga dunia baada ya matatu kukanyaga kilipuzi eneo la Qurqura katika barabara ya Mandera-Elwak, Naibu...
NA RICHARD MAOSI MSIMU wa kuvuna unapokaribia, wakulima wa mahindi na ndizi kutoka Kinangop na Limuru wamesema wanalazimika kukesha...
CHRIS ADUNGO na MASHIRIKA MWANASOKA mstaafu raia wa Uhispania, Gerard Pique, 36, ametaka sasa aliyekuwa mkewe, Shakira Isabel, kumkoma...
Na JAMES MURIMI Kenya itafikia hatua muhimu hivi punde kwa kusafirisha idadi kubwa ya mbegu za ng’ombe aina ya Borana na Ankole kwa...
Na HAMIDA SHARIFF Waziri wa Viwanda na Biashara nchini Tanzania, Dkt Ashatu Kijaji amesema kupanda kwa bei ya mchele na mafuta ya...
CHARLES WASONGA na KNA KIONGOZI wa wengi katika Bunge la Kaunti ya Kisumu Seth Ochieng’ Kanga anaendelea kushutumiwa kwa kumshambulia,...
Na EVANS JAOLA Maafisa wa upelelezi kutoka DCI wamefaulu kunasa washukiwa wa genge la matapeli wanne wanaohangaisha wakazi katika Kaunti...
NA RICHARD MUNGUTI KESI ya madai ya ubadhirifu wa Sh63 bilioni dhidi ya aliyekuwa waziri wa Fedha Henry Rotich kuhusiana na mabwawa ya...