• Nairobi
  • Last Updated April 25th, 2024 12:26 PM

Magaidi wawili wa Al-Shabaab wauawa na maafisa wa KDF msituni Boni

NA KALUME KAZUNGU MAAFISA wa Jeshi la Ulinzi Kenya (KDF) wamewaua magaidi wawili wa Al-Shabaab baada ya kuvamia maficho yao eneo la...

Wanahabari wafurushwa Mukumu Girls bweni likiteketea

NA SHABAN MAKOKHA WANAHABARI kutoka Kakamega jana, Jumamosi Septemba 16, 2023 walifurushwa na usimamizi wa shule ya upili ya Sacred...

Wakazi Ruiru watumia mbinu za kizamani za upishi bei ya mafuta ya kukaangia ikipaa

NA LABAAN SHABAAN MAFUTA ya kupikia kiasi cha lita moja yanauzwa kwa Sh250 hadi takriban Sh400 katika maduka makuu eneo la Ruiru, Kaunti...

Serikali yaombwa kuwaondolea raia mzigo wa gharama ya juu ya maisha

NA LAWRENCE ONGARO KUNA haja ya serikali kuangazia na kutatua changamoto ya hali ngumu ya maisha ambayo Wakenya wanapitia baada ya bei...

Abiria 4 waaga dunia, tisa wajeruhiwa kwenye shambulio Mandera

NA MANASE OTSIALO  WATU wanne wameaga dunia baada ya matatu kukanyaga kilipuzi eneo la Qurqura katika barabara ya Mandera-Elwak, Naibu...

Wakulima wakesha ndani ya mashamba wezi wakivizia mazao

NA RICHARD MAOSI MSIMU wa kuvuna unapokaribia, wakulima wa mahindi na ndizi kutoka Kinangop na Limuru wamesema wanalazimika kukesha...

Silambi matapishi, Pique amjibu Shakira zogo la mapenzi likiendelea

CHRIS ADUNGO na MASHIRIKA MWANASOKA mstaafu raia wa Uhispania, Gerard Pique, 36, ametaka sasa aliyekuwa mkewe, Shakira Isabel, kumkoma...

Kenya kusafirisha shehena kubwa zaidi ya mbegu ya ng’ombe wa kiasili

Na JAMES MURIMI Kenya itafikia hatua muhimu hivi punde kwa kusafirisha idadi kubwa ya mbegu za ng’ombe aina ya Borana na Ankole kwa...

Tanzania yaambia raia waweke akiba nzuri ya mchele na mafuta sababu ya hali ngumu

Na HAMIDA SHARIFF Waziri wa Viwanda na Biashara nchini Tanzania, Dkt Ashatu Kijaji amesema kupanda kwa bei ya mchele na mafuta ya...

Viongozi Waluo watakiwa ‘waache wivu’ kwa walioteuliwa kuhudumu serikalini

CHARLES WASONGA na KNA KIONGOZI wa wengi katika Bunge la Kaunti ya Kisumu Seth Ochieng’ Kanga anaendelea kushutumiwa kwa kumshambulia,...

Mke wa MCA Trans Nzoia alivyotapeliwa nusu milioni akisaka nafasi za kazi polisi

Na EVANS JAOLA Maafisa wa upelelezi kutoka DCI wamefaulu kunasa washukiwa wa genge la matapeli wanne wanaohangaisha wakazi katika Kaunti...

Rotich atabasamu DPP akikataa kuhoji mashahidi kesi ya Sh63 bilioni

NA RICHARD MUNGUTI KESI ya madai ya ubadhirifu wa Sh63 bilioni dhidi ya aliyekuwa waziri wa Fedha Henry Rotich kuhusiana na mabwawa ya...