• Nairobi
  • Last Updated April 23rd, 2024 9:40 PM

Wanaotumia bangi Kenya wameongezeka pakubwa katika miaka mitano – Nacada

Na MERCY CHELANGAT IDADI ya Wakenya wanaotumia dawa za kulevya, ikiwemo bangi, inazidi kuongezeka na kusababisha matatizo ya akili kama...

Familia yalilia haki baada ya jamaa kuuawa, kakake kujeruhiwa walipohudhuria disko matanga

Na KASSIM ADINASI Familia moja eneo la Umala, Ugunja, Kaunti ya Siaya inalilia haki baada ya jamaa yao kuuawa na kakake kupatwa akiwa...

Huenda nyama ya pundamilia inauzwa madukani kupitia mlango wa nyuma

NA RICHARD MAOSI Visa vya kuwakamata na kuchinja pundamilia vimeanza kuripotiwa katika maeneo ya Gilgil na Naivasha, kwa sababu ya hali...

Afisi ya Rais yatuma kikosi kufufua ujenzi wa mabwawa ya Arror na Kimwarer

FRED KIBOR na RICHARD MUNGUTI Serikali imeonyesha nia ya kutimiza ahadi yake ya kufufua mradi uliokwama wa mabwawa ya Arror na Kimwarer...

Gavana wa Nyamira motoni kwa kumfuta kazi Waziri wa Afya

Na RUTH MBULA UAMUZI wa Gavana wa Nyamira, Amos Nyaribo kumfuta kazi Waziri wake wa Afya, Dkt Timothy Ombati, kwa madai ya ufisadi,...

Jamii yashtuka radi kupiga na kuua mke na mume, kujeruhi watu wengine watatu

Na JESSE CHENGE [email protected] Wanandoa kutoka eneo bunge la Malava, Kaunti ya Kakamega wamefariki baada ya kupigwa na...

Maafisa wasaka Al-Shabaab waliojeruhi mhandisi Lamu

NA KALUME KAZUNGU MAAFISA wa usalama, Kaunti ya Lamu wanaendeleza operesheni ya kuwasaka washukiwa wa kundi la Al-Shabaab waliotekeleza...

Museveni adai wanaokula kuku huwa na mienendo hafifu

NA WINNIE ONYANDO RAIS wa Uganda Yoweri Museveni ameeleza kwamba aliacha kula nyama ya kuku, samaki, nguruwe na nyama ya kondoo kwa sababu...

Vibiritingoma waliovamia mitaani wafanya waume wengi kukwepa kanisa, Wahubiri walalamika

NA MWANGI MUIRURI BAADHI ya viongozi wa makanisa yaliyo mjini Thika katika Kaunti ya Kiambu, wameibua malalamiko wakisema idadi ya...

Wanaume 3 wanaswa Bungoma kwa kuitisha hongo kwa vijana waliotaka kuingia jeshini

NA MWANGI MUIRURI MAAFISA wa polisi katika Kaunti ya Bungoma mnamo Ijumaa, Septemba 8, 2023, waliwatia mbaroni washukiwa watatu katika...

Gavana Samboja aliyebwagwa uchaguzini ‘ashukuru’ wakazi kwa kura zao chache

NA LUCY MKANYIKA Aliyekuwa Gavana wa Taita Taveta Granton Samboja alifanya ziara katika kijiji cha Mkamenyi, kaunti ndogo ya Voi ...

Utafiti wabaini ARVs hutumika kunenepesha kuku, nguruwe

Na ALBETINA MENA, Mwananchi Communication Limited Kamati ya Bunge kuhusu Virusi vya Ukimwi nchini Uganda imepewa taarifa na mamlaka ya...