• Nairobi
  • Last Updated March 29th, 2024 8:50 AM

Jinamizi la ahadi Ruto akizuru Magharibi

JUSTUS OCHIENG, JESSE CHENGE na WINNIE ONYANDO RAIS William Ruto anatarajiwa kuanza rasmi ziara yake Magharibi mwa Kenya Agosti 27, 2023...

Raila, Gachagua wachomeana picha mazishini

NA WINNIE ONYANDO NAIBU Rais Rigathi Gachagua na Kiongozi wa Azimio Raila Odinga wamechomeana picha Ijumaa katika mazishi ya shujaa wa Mau...

Trump abebwa kama mhalifu wa kawaida baada ya kujisalimisha

NA XINHUA TBILISI, GEORGIA RAIS wa zamani wa Amerika, Donald Trump, aliachiliwa kwa dhamana Alhamisi baada ya kujisalimisha katika jela...

Nitakupa kiti cha Kiongozi wa Upinzani ndio uache maandamano, Ruto aambia Raila

NA WYCLIFFE NYABERI  Rais William Ruto amemwambia kinara wa ODM Raila Odinga kuwa yuko tayari kumbunia afisi rasmi ya Kiongozi wa...

Tamaa ya visketi ilivyomponza Greenwood hadi akachujwa Man United

Na CHRIS ADUNGO MUSTAKABALI wa fowadi Mason Greenwood kitaaluma sasa unazingirwa na wingu jeusi baada ya kuthibitishwa kwamba ataagana...

Rais Ruto atarajiwa kuzindua miradi ya maendeleo eneo la Gusii

Na RUTH MBULA RAIS William Ruto amewasili katika eneobunge la Bomachoge Chache katika Kaunti ya Kisii ambapo anatarajiwa kuzindua miradi...

Kesi dhidi ya Babu Owino yakosa kuendelea

NA RICHARD MUNGUTI VIONGOZI wa mashtaka wanne jana Alhamisi walikosa kufika kuendeleza kesi inayomkabili Mbunge wa Embakasi Mashariki Babu...

Magaidi wa Al-Shabaab wazidiwa nguvu na walinzi wa Kenya katika shambulio kambini

NA KALUME KAZUNGU MAAFISA wa usalama katika Kaunti ya Lamu, jana walitibua jaribio jingine la mashambulio katika kambi ya wakimbizi...

Jeshi langu linawindwa, adai Raila kuhusu kukamatwa kwa Oparanya

KARIM RAJAN na WINNIE ATIENO KINARA wa Muungano wa Azimio la Umoja-One Kenya, Bw Raila Odinga, amedai kuwa serikali imepanga njama ya...

Mwanamume ajichoma moto Loitoktok baada ya kukataliwa na mpenzi

Na STANLEY NGOTHO Huzuni imetanda katika mji wa Isinet, kaunti ndogo ya Kajiado Kusini Jumatano Agosti 23, 2023 kufuatia kisa ambapo...

Kamati ya Seneti kukagua vigezo vya Eldoret kuwa jiji

NA TITUS OMINDE KAMATI ya Seneti kuhusu Ugatuzi na Uhusiano baina ya serikali inatarajiwa kukagua miradi mikubwa ya mamilioni ya pesa...

Njeri Maina aambiwa angetafuta matibabu hospitali ya Kerugoya kufuatia shambulizi

Na MWANDISHI WETU MASWALI yameibuka kwa nini Mwakilishi wa Kike katika Kaunti ya Kirinyaga Njeri Maina alisafirishwa Nairobi kwa...