• Nairobi
  • Last Updated April 19th, 2024 3:53 PM

Gatundu Kusini: Wahalifu wanaolenga vichwa vya watu kwa vifaa butu na kuwaua

NA MWANGI MUIRURI HALI ya wasiwasi imezidi kutanda katika Kaunti Ndogo ya Gatundu Kusini, kufuatia kukithiri kwa visa vya wahuni kuvamia...

Jinsi Gachagua alivyofanya mazoezi ya kutembea asubuhi ya majogoo katika ‘makao makuu ya ingokho’

NA MWANDISHI WETU NAIBU Rais Rigathi Gachagua amerauka asubuhi na mapema kutembea mjini Kakamega akipata fursa ya kipekee kujionea...

Kisanga mimba ya mke wa wenyewe kujiavya akigawa tunda la ndoa kwa ‘mubaba’ lojing’i Murang’a

NA MWANGI MUIRURI MURANG’A KIZAAZAA kilizuka majuzi Mjini Murang’a baada ya mama aliyekuwa mjamzito mimba kutoka wakati...

Wakongwe 6,000 kutoka Thika wanufaika na misaada

NA LAWRENCE ONGARO WAKONGWE zaidi ya 6,000 kutoka eneo la Thika walipokea misaada ili wajikimu kimaisha. Waziri wa Leba na Maswala ya...

‘Slay queens’ wadaiwa kuwinda mbegu za ‘mubaba’ kwa makahaba

NA MWANGI MUIRURI BAADHI ya makahaba nchini inadaiwa huiba mbegu za wanaume na kuzibeba ndani ya mipira ya kondomu ambapo huziuza kwa...

‘Blackout’ mara mbili kwa wamiliki wa baa wateja wakitokomea gizani bila kulipia bia

NA RICHARD MAOSI BAADHI ya wamiliki wa baa na kumbi za burudani kando ya barabara ya Kanu Street viungani mwa jiji la Nakuru wanakadiria...

Wawili washtakiwa kudandia meli iliyobeba mibuyu kuelekea Georgia

NA BRIAN OCHARO WATU wawili wameshtaki wa kwa kuingia kwa njia haramu kwenye meli ya mizigo iliyokuwa inabeba miti ya mbuyu kwenda...

Ukaguzi: Kaunti ya Homabay imejaa wafanyakazi hewa, wengine ‘under-18’

Na JESSE CHENGE Uchunguzi umebaini kuwa Serikali ya Kaunti ya Homa Bay inaweza kuwa imepoteza Sh300 milioni zilizolipwa wafanyakazi hewa...

Mbunge aliyeumizwa na wahuni afika DCI kwa kitimaguru

Na CHARLES WASONGA Mbunge Mwakilishi wa Kike katika Kaunti ya Kirinyaga Njeri Maina hatimaye aliandikisha taarifa Agosti 25, 2023 katika...

Raila amsherehekea Mama Ida kwa mtindo katika hoteli ya kifahari

MWANDISHI WETU KINARA wa upinzani Raila Odinga alionyesha mapenzi yake kwa mkewe Ida Odinga katika siku ya kuzaliwa kwake Agosti...

Jinamizi la ahadi Ruto akizuru Magharibi

JUSTUS OCHIENG, JESSE CHENGE na WINNIE ONYANDO RAIS William Ruto anatarajiwa kuanza rasmi ziara yake Magharibi mwa Kenya Agosti 27, 2023...

Raila, Gachagua wachomeana picha mazishini

NA WINNIE ONYANDO NAIBU Rais Rigathi Gachagua na Kiongozi wa Azimio Raila Odinga wamechomeana picha Ijumaa katika mazishi ya shujaa wa Mau...