• Nairobi
  • Last Updated March 28th, 2024 6:50 PM

Didmus Barasa amtaka Uhuru kumpigia debe Raila uenyekiti AUC

NA OSCAR KAKAI MBUNGE wa Kimilili Didmus Barasa sasa anamtaka Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta kuvunja kimya chake na kutangaza wazi ikiwa...

Je, kikao cha 3 cha Limuru kitauunganisha Mlima Kenya?

NA WANDERI KAMAU JE, eneo la Mlima Kenya hatimaye litapata sauti moja ya kisiasa? Hilo ndilo swali ambalo limeibuka, baada ya kubainika...

Chunga sana Raila, Ruto ashauriwa

NA JAMES MURIMI VIONGOZI wa Mlima Kenya wamemtaka Rais William Ruto ajihadhari hata anaposhirikiana na Bw Raila Odinga kisiasa, wakisema...

Ubabe wa kisiasa wa Ford-Kenya na DAP-K watokota Trans Nzoia

NA EVANS JAOLA MAKABILIANO makali ya ubabe wa kisiasa yamezuka baina ya viongozi wa vyama vya Democratic Party of Kenya (DAP-K) na...

Raila akienda AUC Kenya itakosa upinzani wa nguvu – Mbunge

NA OSCAR KAKAI HUKU viongozi wengi kutoka mirengo ya upinzani na serikali ya Kenya Kwanza wakiunga mkono azma ya kiongozi wa Azimio La...

Sina domodomo isipokuwa kazi tu – Wamatangi

NA LAWRENCE ONGARO GAVANA wa Kaunti ya Kiambu Kimani Wamatangi amewasuta mahasimu wake wa kisiasa akisema hana wakati wa...

Raila: Mwindaji anayejua kujitafutia windo chakani

NA WANDERI KAMAU KIONGOZI wa Azimio la Umoja Raila Odinga, ameibukia kuwa mwanasiasa anayejua kujijenga upya na kutorokea baridi ya...

Kalonzo aimarisha mikakati ya kutoshea kwa viatu vya Raila

CHARLES WASONGA Na MOSES NYAMORI JUHUDI za kufufua mrengo wa One Kenya Alliance (OKA) zimeanza kujitokeza kufuatia mkutano ulioitishwa na...

Jinsi azma ya Raila AUC inavyozima ndoto za wanasiasa Mlimani – Uchambuzi

NA WANDERI KAMAU HUENDA wanasiasa ambao wamekuwa wakitumia jina la kiongozi wa Azimio la Umoja-One Kenya Raila Odinga kujijenga kisiasa...

Simba Arati sasa amtetea Dkt Monda

NA WYCLIFFE NYABERI GAVANA wa Kisii Simba Arati amewarai madiwani kutathmini upya hoja inayolenga kumng’atua afisini naibu wake Dkt...

Raila amepenya serikalini?

NA WANDERI KAMAU MASWALI yameibuka kuhusu ikiwa kiongozi wa Azimio la Umoja-One Kenya Raila Odinga, hatimaye ameingia serikalini, baada ya...

Vyama vya UDA na ODM vyang’ang’ania wanachama

NA LUCY MKANYIKA JOTO la kisiasa katika Kaunti ya Taita Taveta linazidi kuchemka, huku vyama vya UDA na ODM vikizidi kuvutia wanachama...