• Nairobi
  • Last Updated April 24th, 2024 10:08 PM

Raila atangaza Machi 20 kuwa siku ya mapumziko

NA WINNIE ONYANDO KIONGOZI wa Azimio la Umoja One Kenya, Raila Odinga, ametangaza Jumatatu, Machi 20 kuwa siku ya mapumziko ili kuwapa...

Ningali simba wa siasa za Pwani, Raila asisitiza

WINNIE ATIENO Na VALENTINE OBARA KINARA wa Muungano wa Azimio la Umoja One Kenya, Bw Raila Odinga, amepuuza dhana za wapinzani wake...

Matiang’i apumua baada ya msamaha

NA WAANDISHI WETU HATUA ya Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma (DPP) Noordin Haji kutupilia mbali ‘mashtaka’ dhidi ya aliyekuwa waziri wa...

Ruto, Raila wasukumiwa handisheki

NA WAANDISHI WETU MIITO ya kumhimza Rais William Ruto kufanya mapatano (handisheki) na kiongozi wa Upinzani Raila Odinga iliendelea...

Ruto, Raila wazidi kuzozana huku wakiambiwa wakae wazungumze

WINNIE ATIENO NA WANDERI KAMAU KIONGOZI wa Muungano wa Azimio la Umoja One Kenya, Bw Raila Odinga, amepepeta zaidi wito wake wa...

Raila azindua maasi serikali ikitoa onyo

NA BENSON MATHEKA KIONGOZI wa Azimio la Umoja One Kenya Raila Odinga, jana Alhamisi alizindua rasmi uasi kamili dhidi ya serikali ya Rais...

UDA hatarini ‘kujikwaa’ kama Jubilee

JAMES MURIMI NA WANDERI KAMAU RAIS William Ruto yuko kwenye hatari ya kurudia ‘kosa’ la mtangulizi wake, Uhuru Kenyatta, kupitia...

Chap Chap hatutamezwa na UDA – Mbunge

NA PIUS MAUNDU MBUNGE wa Kibwezi Magharibi, Mwengi Mutuse amemsuta Kaimu Katibu Mkuu wa United Democratic Alliance (UDA) Cleophas Malala...

Kisasi: Waliopinga KK waanza kukiona

NA WAANDISHI WETU SERIKALI ya Kenya Kwanza inaonekana kuwa na kisasi cha wazi dhidi ya maafisa wa serikali iliyoondoka ya Jubilee...

Kenya Kwanza wamtongoza Shahbal

NA VALENTINE OBARA NAIBU Rais Rigathi Gachagua, amemhimiza Mbunge wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Bw Suleiman Shahbal (pichani), kujitenga...

Ruto na Raila wang’ang’ania Magharibi

NA JUSTUS OCHIENG UTEUZI wa aliyekuwa Seneta wa Kakamega, Cleophas Malala, kama Katibu Mkuu mpya wa chama tawala cha UDA umezua mwelekeo...

Raila ataja mbinu mpya za kukabili serikali ya Ruto

NA JUSTUS OCHIENG KIONGOZI wa Azimio la Umoja One Kenya Raila Odinga, jana Jumapili alitangaza ratiba ijayo ya mikutano ya kupinga...