• Nairobi
  • Last Updated March 28th, 2024 8:27 PM

Machifu: Naibu Rais ametutishia kwa simu

STEPHEN MUNYIRI HALI ya wasiwasi imewakumba baadhi ya maafisa wa utawala katika eneo la Mathira ambapo machifu wametishwa kutimuliwa kazi...

Wazungu wapapasa Raila mgongo

LEONARD ONYANGO Na JUSTUS OCHIENG HATUA ya kinara wa Azimio la Umoja Raila Odinga kufifisha mapambano dhidi ya serikali ya Kenya Kwanza...

Kioni atabiri Kenya Kwanza itakufa 2027

NA MWANGI MUIRURI KATIBU Mkuu wa chama cha Jubilee, Bw Jeremiah Kioni, mnamo Jumanne alitabiri kuwa serikali ya Rais William Ruto...

Ruto kuzuru tena ngome ya Raila kwa hafla ya Owalo kukaribishwa nyumbani

NA JUSTUS OCHIENG RAIS William Ruto anatarajiwa kuongoza ujumbe wa serikali katika Kaunti ya Siaya, ambayo ni ngome ya kisiasa ya kinara...

Raila ataka Ruto amtafute ikiwa anataka kubadili Katiba

NA WINNIE ATIENO KIONGOZI wa ODM, Bw Raila Odinga amemtaka Rais William Ruto kushauriana na Wakenya na viongozi wa upinzani kuhusu...

Shirikiana ndio, lakini msimezwe na Ruto, Raila aambia magavana

NA WINNIE ATIENO KINARA wa ODM Bw Raila Odinga amewataka magavana wa mrengo wa Azimio la Umoja One Kenya, kutokubali kumezwa na chama...

Gachagua achokoza nyuki akikamia kudhibiti Mlima

NA WAANDISHI WETU JITIHADA za Naibu Rais Rigathi Gachagua kupigania kutawazwa kuwa kinara wa kisiasa wa eneo la Mlima Kenya zimemzolea...

Mikakati ya Ruto kumaliza Azimio

NA WAANDISHI WETU MUUNGANO tawala wa Kenya Kwanza uko mbioni kumaliza ule wa upinzani wa Azimio la Umoja mwaka huu kupitia mikakati ambayo...

Viongozi wa ODM Pwani waunga serikali ya Ruto

MAUREEN ONGALA Na WINNIE ATIENO MUUNGANO wa Kenya Kwanza umevuna pakubwa baada ya viongozi wa chama cha ODM eneo la Pwani kukumbatia...

Wandani wa Kalonzo wampa presha Raila kuhusu 2027

NA JUSTUS OCHIENG WAANDANI wa kiongozi wa Wiper, Bw Kalonzo Musyoka, wameanzisha shinikizo jipya za Mwaka Mpya katika muungano wa Azimio...

Wandani wa Raila wakataa wito wa Mudavadi waunge serikali

NA DERICK LUVEGA WITO wa Mkuu wa Mawaziri, Bw Musalia Mudavadi, kutaka wanasiasa wa upinzani eneo la Magharibi wajitenge na kinara wa...

Raila: Chebukati anafaa kuwa jela

NA SAMMY WAWERU KINARA wa Azimio la Umoja, Raila Odinga anataka Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka, IEBC, Wafula Chebukati...