STEPHEN MUNYIRI HALI ya wasiwasi imewakumba baadhi ya maafisa wa utawala katika eneo la Mathira ambapo machifu wametishwa kutimuliwa kazi...
LEONARD ONYANGO Na JUSTUS OCHIENG HATUA ya kinara wa Azimio la Umoja Raila Odinga kufifisha mapambano dhidi ya serikali ya Kenya Kwanza...
NA MWANGI MUIRURI KATIBU Mkuu wa chama cha Jubilee, Bw Jeremiah Kioni, mnamo Jumanne alitabiri kuwa serikali ya Rais William Ruto...
NA JUSTUS OCHIENG RAIS William Ruto anatarajiwa kuongoza ujumbe wa serikali katika Kaunti ya Siaya, ambayo ni ngome ya kisiasa ya kinara...
NA WINNIE ATIENO KIONGOZI wa ODM, Bw Raila Odinga amemtaka Rais William Ruto kushauriana na Wakenya na viongozi wa upinzani kuhusu...
NA WINNIE ATIENO KINARA wa ODM Bw Raila Odinga amewataka magavana wa mrengo wa Azimio la Umoja One Kenya, kutokubali kumezwa na chama...
NA WAANDISHI WETU JITIHADA za Naibu Rais Rigathi Gachagua kupigania kutawazwa kuwa kinara wa kisiasa wa eneo la Mlima Kenya zimemzolea...
NA WAANDISHI WETU MUUNGANO tawala wa Kenya Kwanza uko mbioni kumaliza ule wa upinzani wa Azimio la Umoja mwaka huu kupitia mikakati ambayo...
MAUREEN ONGALA Na WINNIE ATIENO MUUNGANO wa Kenya Kwanza umevuna pakubwa baada ya viongozi wa chama cha ODM eneo la Pwani kukumbatia...
NA JUSTUS OCHIENG WAANDANI wa kiongozi wa Wiper, Bw Kalonzo Musyoka, wameanzisha shinikizo jipya za Mwaka Mpya katika muungano wa Azimio...
NA DERICK LUVEGA WITO wa Mkuu wa Mawaziri, Bw Musalia Mudavadi, kutaka wanasiasa wa upinzani eneo la Magharibi wajitenge na kinara wa...
NA SAMMY WAWERU KINARA wa Azimio la Umoja, Raila Odinga anataka Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka, IEBC, Wafula Chebukati...