• Nairobi
  • Last Updated March 28th, 2024 3:25 PM

Mpango fiche wa Ruto kuzamisha jahazi la Azimio

ONYANGO K’ONYANGO Na RUTH MBULA RAIS William Ruto ameanzisha mikakati ya kusambaratisha muungano wa Azimio na kumaliza ushawishi wa...

Raila ataja sababu za kumkabili Ruto

NA JUSTUS OCHIENG' KINARA wa Azimio la Umoja, Bw Raila Odinga jana Jumapili alielezea mambo sita yanayomfanya kukosana na Rais William...

Raila ataka mradi wa Galana Kulalu usimamiwe na serikali za kaunti

NA ALEX KALAMA KINARA wa muungano wa Azimio La Umoja-One Kenya Raila Odinga amependekeza mradi wa kilimo wa Galana Kulalu ukabidhiwe kwa...

Jubilee sasa haitashiriki maandamano

NA JAMES MURIMI CHAMA cha Jubilee kimetangaza kuwa hakitajihusisha na misururu ya mikutano ambayo Muungano wa Azimio la Umoja One Kenya...

Raila kupewa mamlaka iwapo Mswada utapita

NA JUSTUS OCHIENG HUENDA afisi ya kiongozi rasmi wa upinzani ikabuniwa nchini ikiwa mchakato mpya wa marekebisho ya Katiba utafaulu...

Maandamano: Raila akunja mkia

CHARLES WASONGA Na MARY WANGARI KIONGOZI wa Azimio la Umoja-One Kenya Raila Odinga amefutilia mbali mkutano aliopanga kuuongoza leo...

Ruto afuata nyayo za Moi katika kutawala

NA BENSON MATHEKA RAIS William Ruto amejitokeza kuwa mwanafunzi stadi wa mlezi wake wa kisiasa, Daniel Moi kwa kuiga mbinu alizotumia...

Kalonzo tayari ‘kurithi’ Raila kura za 2027

NA PIUS MAUNDU KINARA wa Wiper Kalonzo Musyoka ametangaza kuwa atawania urais 2027 huku akisema kuwa tayari anaungwa mkono na ngome ya...

Mgawanyiko Azimio ikikaribia kuvunjika

NA BENSON MATHEKA HUKU kiongozi wa Azimio la Umoja One Kenya Raila Odinga akisisitiza kwamba,upinzani hautalegeza kamba katika kukosoa...

Gachagua, Mudavadi wajipanga kwa 2027

NA BENSON MATHEKA NAIBU Rais Rigathi Gachagua na Mkuu wa Mawaziri Musalia Mudavadi wanaonekana kushindana vikali kila mmoja akiimarisha...

Vinara wakuu Azimio washutumu Kenya Kwanza kwa kulipiza kisasi

NA MACHARIA MWANGI VIONGOZI wa Muungano wa Azimio One Kenya wamelaumu serikali ya Kenya Kwanza kwa kuendeleza kisasi dhidi ya viongozi na...

Raila ahudhuria kikao cha kukaanga Cherera na wenzake kisha alaani pendekezo la kuwatimua

NA CHARLES WASONGA VIONGOZI wa muungano wa Azimio la Umoja-One Kenya Raila Odinga, Kalonzo Musyoka na Martha Karua ni miongoni mwa...