• Nairobi
  • Last Updated April 24th, 2024 6:50 AM

Usiumize wafuasi wangu – Raila

NA GEORGE ODIWUOR KIONGOZI wa Muungano wa Azimio la Umoja-One Kenya, Bw Raila Odinga, amemtaka Rais William Ruto kutowaadhibu wafuasi...

Raila afufua mapambano

NA CECIL ODONGO KINARA wa Muungano wa Azimio la Umoja One Kenya Raila Odinga ametangaza mapambano makali dhidi ya utawala wa Rais William...

Mkataba wa Kenya Kwanza waumiza ANC na Ford Kenya

NA ONYANGO K’ONYANGO KIPENGELE kimojawapo katika mkataba wa muungano wa Kenya Kwanza Alliance (KKA) kimeugeuka na kuanza kuhangaisha...

Hofu ya usaliti yatishia kusambaratisha Azimio

SHABAN MAKOKHA NA WANDERI KAMAU MUUNGANO wa Azimio la Umoja umeanza kukumbwa na madai ya usaliti wa kisiasa, huku baadhi ya wabunge wake...

Mikakati ya UDA kumaliza Kalonzo

NA PIUS MAUNDU CHAMA cha United Democratic Alliance (UDA) kimeweka mikakati ya kumzima kinara wa Wiper, Kalonzo Musyoka anayeonekana...

Raila ataka maendeleo sawa kote

NA SHABAN MAKOKHA KIONGOZI wa Azimio la Umoja One Kenya Raila Odinga amewataka wafuasi wake ‘kutopigia magoti’ serikali ya Kenya...

Sijachoka kupiga vita maadui wa nchi, asema Raila

NA BENSON MATHEKA KIONGOZI wa muungano wa Azimio la Umoja One Kenya, Bw Raila Odinga, kwa mara nyingine tena, anajiandaa kukabiliana na...

Ruto aendelea kurushia wenyeji Mlimani minofu

BENSON MATHEKA Na CHARLES WASONGA RAIS William Ruto anaendelea kuzawadi wakazi wa Mlima Kenya kwa kumpigia kura kwa wingi kwenye uchaguzi...

Waziri Mkuu wa Uingereza Rishi Sunak ana asili ya Kenya

MASHIRIKA na MARY WANGARI RISHI Sunak aliye na usuli na asili nchini Kenya ndiye Waziri Mkuu mpya wa Uingereza baada ya kuchaguliwa...

Mayatima wa Raila waingizwa baridi na Miguna, Kidero

GEORGE ODIWUOR na CHARLES WASONGA WANDANI wa kiongozi wa ODM Raila Odinga katika eneo la Nyanza wameingiwa na hofu kwamba kustaafu kwake...

Karua asema bado hamtambui Ruto kama Rais wa Kenya

WANGU KANURI Na RUTH AREGE KIONGOZI wa chama cha Narc Kenya, Bi Martha Karua amesema kuwa, bado hajamtambua Dkt William Ruto kama...

Mashujaa Dei: Rais Ruto awahimiza Wakenya wajitolee kuhifadhi mazingira athari hasi za mabadiliko ya tabianchi zikishuhudiwa

NA SAMMY WAWERU RAIS William Ruto ameahidi kuboresha mikakati kukabiliana na kero ya mabadiliko ya tabianchi nchini.  Dkt Ruto aidha...