• Nairobi
  • Last Updated April 18th, 2024 9:15 PM

Rigathi ataka Raila, Kalonzo waipe serikali ya Kenya Kwanza muda zaidi kabla ya kuikosoa

NA CHARLES WASONGA NAIBU Rais Rigathi Gachagua sasa anawataka viongozi wa upinzani wakome kuikosoa serikali ya Kenya Kwanza bali waipe...

Msukosuko wachemka katika Azimio

ONYANGO K’ONYANGO,CHARLES WASONGA Na BENSON MATHEKA MGOGORO ulioibuka ndani ya Azimio la Umoja-One Kenya kuhusu ugavi wa nafasi kwenye...

Mudavadi kufanyia kazi katika eneo lenye kelele

NA MWANDISH WETU HUENDA kiongozi wa chama cha Amani National Congress (ANC) Musalia Mudavadi akawa afisa wa cheo cha juu serikalini...

Raila arudi mitaani kujumuika na raia

NA BENSON MATHEKA MGOMBEAJI urais kwa tikiti ya wa Muungano wa Azimio la Umoja One Kenya kwenye uchaguzi mkuu uliopita, Raila Odinga,...

Musalia, Wetang’ula wasita vyama vyao kumezwa na UDA

NA RICHARD MUNGUTI VYAMA vya kisiasa katika muungano wa Kenya Kwanza vinasita kuvunjiliwa mbali kuunda chama kimoja cha United Democratic...

Wanasiasa kuvuna kwa uaminifu wao

NA BENSON MATHEKA KUBADILISHWA kwa orodha ya watakaohojiwa kwa nyadhifa za makatibu wa wizara kumeonyesha kwamba kigezo kikuu cha...

Gachagua asimulia jinsi Ruto alivyopata umaarufu katika eneo la Mlima Kenya

NA SAMMY WAWERU NAIBU Rais Rigathi Gachagua amewasuta wakosoaji wa muungano wa Kenya Kwanza, akiwataja kama ‘manabii wa...

Uchaguzi wa Agosti 9 ulilenga kutimua waenezaji wa chuki za kikabila – Wetang’ula

NA SAMMY WAWERU SPIKA wa Bunge la Kitaifa Moses Wetang'ula ametaja uchaguzi mkuu uliokamilika kama zoezi muhimu lililolenga kukomboa...

KK, Azimio kupambana katika uchujaji wa mawaziri

NA ONYANGO K’ONYANGO MIRENGO ya Kenya Kwanza na Azimio la Umoja-One Kenya sasa inajiandaa kukabiliana tena wiki ijayo kwenye kikao cha...

Raila abuni mbinu mpya kujiimarisha

BENSON MATHEKA Na MOSES NYAMORI KIONGOZI wa Azimio la Umoja One Kenya, Raila Odinga amezindua mikakati mipya katika juhudi za...

Maseneta wa Azimio wamkosoa Ruto kuhusu GMO

NA MARY WANGARI MASENETA wanaogemea muungano wa Azimio One Kenya wamekosoa hatua ya Rais William Ruto ya kuruhusu nchini vyakula...

Njama ya Kenya Kwanza kuzika ODM Pwani

MAUREEN ONGALA NA ALEX KALAMA VIONGOZI wa vyama vinavyoegemea upande wa serikali ya Rais William Ruto, wameanza kuweka mipango ya...