• Nairobi
  • Last Updated April 19th, 2024 10:55 AM

Rais aanza kutekeleza ripoti ya BBI taratibu

NA MWANDISHI WETU RAIS William Ruto ameonekana kutekeleza kimya kimya mapendekezo ya Jopo la Maridhiano (BBI), ambayo alikuwa mstari wa...

Ruto, Raila kumenyania kiongozi wa wengi bungeni

NA DAVID MWERE MVUTANO mkali unatazamiwa hii leo Jumanne Bungeni kati ya kambi ya Rais William Ruto ya Kenya Kwanza na Azimio ya Raila...

Ruto alenga ngome ya Raila kwa minofu

VICTOR RABALLA Na GEORGE ODIWUOR RAIS William Ruto ameanza kumwaga minofu katika ngome ya mpinzani wake mkuu kwenye uchaguzi mkuu wa...

Kibarua cha Raila kulinda ufuasi Gusii

NA DAVID MWERE KIONGOZI wa muungano wa Azimio Raila Odinga anakabiliwa na kibarua cha kudumisha ushawishi wake wa kisiasa katika eneo la...

Njama ya UDA kumeza vyama tanzu katika Kenya Kwanza yafichuka

NA MOSES NYAMORI NJAMA fiche imeanzishwa ya kuvunjwa kwa vyama vyote tanzu katika Kenya Kwanza na kuviunganisha na chama cha United...

Ruto alivyokwepa ulaghai wa kisiasa

NA BENSON MATHEKA RAIS William Ruto alifanya mashauriano ya kina na wazi, na washirika wake kabla ya kuzindua Baraza la Mawaziri mnamo...

Muungano wa Azimio wakosa meno ya ‘kuuma’

CHARLES WASONGA Na BENSON MATHEKA MUUNGANO wa Azimio la Umoja One Kenya unaonekana kukosa makali ya kukosoa mipango na ajenda za...

Ruto atumia ‘BBI’ aliyoikataa kutunuku wandani

NA ONYANGO K'ONYANGO RAIS William Ruto ametumia pendekezo lililokuwa katika Mpango wa Maridhiano (BBI) alioupinga ili kutimiza ahadi...

Azimio wamsuta Rais kwa kukwepa suala la vita dhidi ya ufisadi

NA CHARLES WASONGA WABUNGE wa upinzani wamekosoa Rais William Ruto wakidai alikosa kuangazia mikakati ya serikali yake kuhusu vita dhidi...

Hisia mseto za wabunge kuhusu hotuba ya Rais Ruto

NA CHARLES WASONGA WABUNGE wameibua hisia mseto kuhusu hotuba aliyotoa bungeni Rais William Ruto alipohutubia kikao cha pamoja cha bunge...

Kilichosukuma Ruto kuteua wanasiasa wengi mawaziri

NA CHARLES WASONGA RAIS William Ruto ameamua kuteua idadi kubwa ya wanasiasa, kuliko wataalamu, katika baraza lake la mawaziri kutokana...

Wanasiasa wavuna baraza la mawaziri

NA MARY WANGARI RAIS William Ruto jana Jumanne aliteua idadi kubwa ya wanasiasa kuendesha serikali katika wadhifa wa waziri. Kati ya...