• Nairobi
  • Last Updated April 25th, 2024 7:45 AM

Mudavadi kujua majukumu yake baada ya siku 30

NA CHARLES WASONGA KIONGOZI wa chama cha Amani National Congress (ANC) Musalia Mudavadi atalazimika kusubiri kwa zaidi ya siku 30 kabla...

Azimio walaumu Uhuru kwa ‘kuangusha’ Raila

NA WANDERI KAMAU WANASIASA wa muungano wa Azimio la Umoja One Kenya, sasa wameanza kumrushia cheche za lawama Rais Uhuru Kenyatta huku...

Wanachama KKA wavutania viti serikalini

NA ONYANGO K’ONYANGO SIKU chache baada ya Mahakama ya Upeo kuidhinisha ushindi wa Rais mteule William Ruto, mng’ang’anio mkali wa...

Ongwae aongoza viongozi kadhaa kujiunga na Ruto

NA RUTH MBULA ALIYEKUWA Gavana wa Kisii James Ongwae na wanasiasa wengine kutoka eneo la Gusii waliopoteza katika uchaguzi mkuu wa...

Uhuru bado kuamini Ruto alishinda urais

NA BENSON MATHEKA RAIS Uhuru Kenyatta bado hajakubali kwamba naibu wake William Ruto atakuwa mrithi wake hata baada ya ushindi wake...

Kalonzo kupambana na Kingi kuwania cheo cha spika bunge la Seneti

NA BENSON MATHEKA KIONGOZI wa Wiper Kalonzo Musyoka, sasa ndiye atapeperusha bendera ya Azimio la Umoja-One Kenya katika...

IEBC yachapisha majina ya wabunge na maseneta maalum

Na CHARLES WASONGA TUME Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) imechapisha kwenye gazeti rasmi la serikali majina ya wabunge na maseneta...

‘Mayatima’ wa Raila wabaki kwa mataa

NA VALENTINE OBARA BAADHI ya wanasiasa waliokuwa wakisubiri kupewa vyeo vya juu serikalini endapo Kinara wa ODM Raila Odinga angeshinda...

Raila alijikwaa kutegemea pakubwa Uhuru – Wadadisi

NA BENSON MATHEKA KIONGOZI wa muungano wa Azimio la Umoja One Kenya, Raila Odinga aliyeshindwa kwa mara ya tano katika uchaguzi wa...

Masuala tisa yaliyozima kesi ya Raila katika Mahakama ya Upeo

NA RICHARD MUNGUTI UAMUZI wa kesi ya kupinga matokeo ya kura za urais uliegemea zaidi juu ya masuala tisa yaliyotambuliwa yenye kuzua...

Ruto awanyooshea Uhuru na Raila mkono wa maridhiano

NA MARY WANGARI RAIS Mteule William Ruto jana alisema wangali marafiki na Rais Uhuru Kenyatta licha yake kuchukua misimamo tofauti...

Uhuru Kenyatta arudia makosa ya mlezi wake Moi katika siasa za urithi wa urais

NA VALENTINE OBARA RAIS Uhuru Kenyatta, ataondoka mamlakani akiandamwa na sifa za siasa za urithi zilizomkumba mlezi wake wa siasa,...