• Nairobi
  • Last Updated April 19th, 2024 8:55 PM

Shinikizo zazidi Mlima Kenya kuwa na chama chake cha kisiasa

NA WANDERI KAMAU VIONGOZI zaidi wanaendelea kujitokeza kushinikiza kuwa lazima eneo la Mlima Kenya liwe na chama chake cha kisiasa...

Serikali imeoza – Azimio

NA BENSON MATHEKA VINARA wa muungano wa Azimio la Umoja-One Kenya, wamehimiza Wakenya kutonyamaza huku serikali ya Kenya Kwanza...

Viongozi wa ‘Mulembe’ watumia sukari kufufua upya nyota zao

NA MARY WANGARI BAADHI ya wanasiasa na viongozi kutoka Magharibi mwa Kenya waliotemwa katika uchaguzi mkuu wa Agosti 9, 2022, wameangaziwa...

Mudavadi apeleka waraka wa habari njema Nyanza

KASSIM ADINASI Na BENSON MATHEKA MKUU wa Mawaziri Musalia Mudavadi amedokeza uwezekano wa kufanyika kwa handisheki kati ya Rais William...

Nitaunda chama changu cha kisiasa, Mwadime amwambia Raila

NA LUCY MKANYIKA  GAVANA wa Kaunti ya Taita Taveta Andrew Mwadime amesema kuwa ataunda chama chake cha kisiasa ambapo yeye atakuwa...

Ningekuwa Rais Wakenya tungekuwa mbali sana – Raila

NA WAANDISHI WETU KIONGOZI wa Orange Democratic Movement (ODM) Raila Odinga katika ziara yake ya Pwani amesema kama angeshinda urais,...

Raila azuru Kilifi kukipa chama cha ODM mvuto mpya

NA ALEX KALAMA KIONGOZI wa chama cha Orange Democratic Movement (ODM) Raila Odinga amewasili katika ukumbi wa Red Cross mjini Malindi,...

Mtikiso wa nyayo za Raila waangusha dari la PAA Pwani

NA ALEX KALAMA CHAMA cha Orange Democratic Movement (ODM) kikiwa kinajivunia kupokea baadhi ya wanasiasa waliohama chama cha Pamoja...

Junet haendi popote, asema Raila

NA STEPHEN ODUOR KIONGOZI wa chama cha Orange Democratic Movement (ODM) Raila Odinga, amekanusha madai ya kuwepo kwa njama ya kumtimua...

Seneta Wamatinga awataka viongozi Mlimani kudandia ‘basi’ moja

NA WANDERI KAMAU SENETA wa Nyeri Wahome Wamatinga amesema ingekuwa vyema viongozi kutoka Mlima Kenya kushabikia vyama vyenye mizizi...

Viongozi wa Agikuyu Rift Valley wamtaka Ndindi Nyoro kuwa na subira

NA EVANS JAOLA JAMII ya Agikuyu katika eneo la Bonde la Ufa inayoegemea upande wa Naibu Rais Rigathi Gachagua, imemtaka Mbunge wa Kiharu...

Kanini Kega: Kuna mkono fiche unaomfadhili Nyoro kumpiga vita Gachagua

NA WANDERI KAMAU MBUNGE wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA) Kanini Kega amedai kwamba kuna mkono fiche unaotumia mbunge wa Kiharu Ndindi...