• Nairobi
  • Last Updated April 20th, 2024 7:55 AM

Ruto asihi ngome yake kuwakataa wawaniaji wasio wa chama chake

FRED KIBOR KWA siku ya pili mfululizo, Naibu Rais William Ruto amewalilia wakazi wa ngome yake wasimuaibishe Jumanne ijayo kwa kuchagua...

Ipsos: Raila kifua mbele huku zikisalia siku 6

NA CHARLES WASONGA MGOMBEA urais wa muungano wa Azimio la Umoja-One Kenya Raila Odinga yuko kifua mbele dhidi ya mwenzake wa Kenya...

Mnikumbuke wiki ijayo, Raila asihi

NA JAMES MURIMI MWANIAJI urais wa chama cha Azimio La Umoja-One Kenya Raila Odinga anasisitiza kuwa Wakenya wanapaswa kuchagua kati ya...

Uhuru akana kuwa anapanga kuua Dkt Ruto na wandani wake katika Kenya Kwanza

NA CHARLES WASONGA MALUMBANO kati ya Rais Uhuru Kenyatta na Naibu wake William Ruto kuhusu siasa za urithi yaliendelea kushuhudiwa...

Raila kuzuru Nyanza kura zikinukia

NA RUSHDIE OUDIA MGOMBEA urais wa Azimio la Umoja One Kenya, Bw Raila Odinga atafanya kampeni yake ya kipindi cha lala salama katika...

Wagombeaji ugavana wakaidi wito wa Raila

NA ALEX NJERU WAGOMBEAJI watatu wa ugavana chini ya muungano wa Azimio la Umoja One Kenya Kaunti ya Tharaka Nithi wamekaidi wito wa...

Ziara za Uhuru kubomoa Ruto

WANDERI KAMAU Na BENSON MATHEKA RAIS Uhuru Kenyatta anatarajiwa kutumia ziara zake za kuzindua miradi ya maendeleo sehemu mbalimbali...

Nassir: Sonko na Omar hawanitishi

NA WINNIE ATIENO MBUNGE wa Mvita, Bw Abdulswamad Nassir, amepuuzilia mbali hatua ya wapinzani wake kuungana dhidi yake katika...

Polisi watishia kuzima kampeni Nyali baada ya fujo

WINNIE ATIENO NA KEVIN ODIT POLISI katika Kaunti ya Mombasa, wameonya watazima kampeni zote za kisiasa eneobunge la Nyali iwapo...

Sonko aacha Kalonzo mataani, ajiunga na Ruto

WINNIE ATIENO Na JURGEN NAMBEKA ALIYEKUWA gavana wa Nairobi Bw Mike Sonko amejiunga na muungano wa Kenya Kwanza wake Naibu Rais Wiliam...

KIGODA CHA PWANI: Umoja wa Pwani kusalia ndoto isiyotimilika milele

NA PHILIP MUYANGA TAKRIBANI siku nane zimesalia kabla ya Wakenya kuelekea kwenye uchaguzi mkuu lakini kwa wakazi wa Pwani, suala la...

Raila alaani fujo huku wafuasi wa wagombeaji ugavana wakikabiliana

NA PIUS MAUNDU KINARA wa ODM, Raila Odinga amelaani vurugu iliyotokea Kaunti ya Machakos. Akizungumza Ijumaa katika hafla ya kampeni,...