• Nairobi
  • Last Updated April 19th, 2024 6:21 PM

Wizara yatoa onyo la mafuriko mabwawa ya Masinga, Kindaruma yakivunja kingo

Na WAANDISHI WETU WIZARA ya Usalama wa Ndani imetoa ilani kuhusu uwezekano wa mafuriko zaidi kutokea katika sehemu mbalimbali nchini...

Nakhumicha ataka hospitali zikubali NHIF akisema madeni yote yatalipwa

NA WINNIE ONYANDO WAZIRI wa Afya, Susan Nakhumicha, Jumatano alitoa wito kwa vituo vya Afya nchini kuwahudumia wagonjwa wanaotumia...

Ndege zaelea kwenye mafuriko na kulazimu uwanja kufungwa

NA MASHIRIKA DUBAI, MILKI ZA KIARABU (UAE) UWANJA wa ndege wa Kimataifa wa Dubai umefungwa kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na...

Watu wafia majumbani madaktari wakigoma

Na WAANDISHI WETU WAGONJWA wanaendelea kupoteza maisha kwa wingi nyumbani kufuatia mgomo wa madaktari unaoendelea kote nchini. Familia ya...

Watu tisa waliokamatwa kwa kumzomea mke wa rais waachiliwa

NA MASHIRIKA WANAWAKE tisa waliokamatwa nchini Zimbabwe kwa madai ya kumzomea mke wa rais Auxillia Mnangagwa wameondolewa mashtaka,...

Mshukiwa wa ujambazi asimulia walivyoua wanawake alipokuwa genge la Confirm Nakuru

Na JOSEPH OPENDA MAKOSA ya mshukiwa mkuu katika mauaji ya kinyama ya wanawake katika eneo la Mawanga, Kaunti ya Nakuru, yaliyotekelezwa...

Mkurugenzi wa zamani wa makavazi Mzalendo Kibunjia ashtakiwa kwa wizi wa Sh491m

Na RICHARD MUNGUTI MKURUGENZI mkuu wa zamani wa makavazi ya kitaifa (NMK) Mzalendo Kibunjia ameshtakiwa kwa ulaghai wa Sh491...

Mtajuta kuturushia makombora, Mkuu wa Jeshi Israel aambia Iran akiapa kulipiza kisasi

Na MASHIRIKA JERUSALEM, Israel MKUU wa Jeshi la Israel Herzi Halevi ameapa kujibu shambulio la Iran huku miito ya kuitaka Israeli...

Spika wa Nairobi mashakani kwa ‘kulazimisha’ salamu na mwanamke Muislamu

NA NDUBI MOTURI  SPIKA wa Bunge la Kaunti ya Nairobi Ken Ng’ondi amejikuta mashakani baada ya video kufichuka ikimuonyesha...

Mudavadi anavyocheza karata yake ya kisiasa chini ya maji

Na JUSTUS OCHIENG MKUU wa Mawaziri Musalia Mudavadi anajaribu kung’aa katika utawala wa Kenya Kwanza huku akiendesha mikakati ya...

Kesi ya uhalifu dhidi ya Trump yaanza kusikizwa baada ya kuahirishwa mara kadhaa

Na MASHIRIKA NEW YORK, Amerika KESI ya uhalifu dhidi ya Rais wa zamani wa Amerika Donald Trump ilianza Jumatatu jijini New York na...

Kilio cha wakulima wa miwa ikielekea kuozea shambani

NA VICTOR RABALLA WAKULIMA wa miwa sasa wanaitaka Mamlaka ya Kilimo na Chakula (AFA) kuamuru viwanda vya kutengeneza sukari kurejelea...