• Nairobi
  • Last Updated April 19th, 2024 5:47 PM

Afueni kwa Wakenya bei ya mafuta ikishuka

NA WANDERI KAMAU MAMLAKA ya Kudhibiti Bei ya Kawi na Petroli (Epra) imetangaza kupunguzwa kwa bei za petroli, dizeli na mafuta taa...

Mfanyabiashara azimwa kuvamia shamba la bwanyenye marehemu

NA RICHARD MUNGUTI MAHAKAMA Kuu imemzima mfanyabiashara Dorcus Joan Kiptoo kutwaa umiliki wa shamba la ekari 66 lenye thamani ya Sh4.6...

PSC yakana kumuajiri Jacque Maribe katika wizara ya Kuria

NA WANDERI KAMAU TUME ya Utumishi wa Umma (PSC) imepuuza ripoti kwamba imemwajiri mwanahabari Jacque Maribe kuwa mkuu wa Kitengo cha...

Baraza la Mawaziri launga vita dhidi ya vileo haramu

NA CHARLES WASONGA BARAZA la Mawaziri limeunga mkono kikamilifu juhudi za Wizara ya Usalama wa Ndani kukabiliana na kero ya pombe haramu...

Mahangaiko hoteli zikifungwa kupisha mwezi wa Ramadhani

NA FATUMA BUGU WAKAZI wengi wa Mombasa wanaopenda mapochocho ya Pwani tayari wameanza kutafuta sehemu mbadala kukimu mahitaji yao ya...

Kang’ethe anayedaiwa kuua mpenziwe ‘majuu’ alia kuteswa gerezani

NA RICHARD MUNGUTI MSHUKIWA Kevin Kang’ethe anayetakiwa nchini Amerika kufunguliwa mashtaka ya kumuua mpenzi wake, amelalamika...

Kaunti zamegewa mgao kidogo

NA CHARLES WASONGA SERIKALI za kaunti zimepata pigo baada ya kutengewa Sh391 bilioni katika mwaka wa kifedha wa 2024/2025 badala ya mgao...

Elachi afichua Kilimani imegeuzwa danguro la vibiritingoma, wahuni

NA FRIDAH OKACHI MBUNGE wa Dagoretti Kaskazini Beatrice Elachi amefedheheshwa na jinsi wasichana wadogo kutoka mitaa ya mabanda ya...

Mamake Jowie: Nina imani mwanangu ataachiliwa huru

NA WANDERI KAMAU MAMAKE Joseph ‘Jowie’ Irungu mnamo Jumatano alieleza kutoridhishwa na uamuzi uliotolewa na Jaji Grace Nzioka, ambapo...

Serikali yasutwa kwa kunyima vyombo vya habari matangazo ya kibiashara

HASSAN WANZALA Na RICHARD MUNGUTI MUUNGANO wa wadau sekta ya habari umelalamika ukidai hatua ya Katibu wa Teknolojia ya Habari na...

Jowie ahukumiwa kifo kwa kumuua Monicah Kimani

NA RICHARD MUNGUTI MSHTAKIWA Joseph 'Jowie' Irungu amehukumiwa kifo kwa kumuua mfanyabiashara Monicah Kimani. Jaji Grace Nzioka mnamo...

Polisi waamriwa kuvunja Mungiki katika steji ya Sagana

NA MWANGI MUIRURI KAMANDA wa polisi eneo la Kati, Lydia Ligami, ametoa amri kwa wadogo wake wanahudumu katika maeneo ya Kaunti ya...