• Nairobi
  • Last Updated April 19th, 2024 8:55 PM

Korti yakubali mwanamume mpango wa kando alipwe asilimia 30 mali ya mwanamke

NA BRIAN OCHARO MAHAKAMA ya Nairobi imemwagiza mwanamke amlipe mwanamume ambaye alikuwa ameishi naye kwa miaka 25, asilimia 30 ya mali...

Somalia yajiunga rasmi na EAC  

NA CHARLES WASONGA JUMHURI ya Somalia sasa imejiunga na Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) baada ya kuwasilisha rasmi stakabadhi zake za...

Haiti yatangaza hali ya hatari  

WANDERI KAMAU na MASHIRIKA  HAITI mnamo Jumatatu, Machi 4, 2024, ilitangaza hali ya hatari kwa muda wa saa 72 na kafyu nyakati za usiku...

Kiwango cha umaskini Kilifi chazua hofu

NA MAUREEN ONGALA WADAU wa elimu Kilifi wameibua wasiwasi kuhusu umaskini uliokithiri wakisema unafanya baadhi ya wanafunzi wasiojiweza...

Baada ya bunduki za jeshi kushindwa wakazi wageukia maombi kupiga vita ujangili

NA OSCAR KAKAI KUFUATIA ongezeko la visa vya mauaji, uvamizi wa mara kwa mara na wizi wa mifugo katika eneo hatari lenye utata la Bonde...

Wabunge wa EALA nchini kupigia debe Raila

NA VALENTINE OBARA KAMPENI za kumtaka kiongozi wa upinzani Raila Odinga kuwa mwenyekiti ajaye wa Tume ya Umoja wa Afrika (AUC) zimezidi...

Bonge la muungano wa Raila, Ruto na Mudavadi

NA JUSTUS OCHIENG USHIRIKIANO kati ya Rais William Ruto na kiongozi wa Azimio Raila Odinga unaweza kubadilisha siasa za nchi na kufanya...

Ujangili: Wahubiri walilia Ruto

ERIC MATARA Na GEOFFREY ONDIEKI VIONGOZI wa kidini kutoka kaunti sita eneo la Bonde la Ufa wameelezea wasiwasi kuhusu kuongezeka kwa...

CIPK yataka mahakama ya rufaa ya kadhi kusikiza kesi za urithi

NA TITUS OMINDE BARAZA la Wahubiri na Maimam (CIPK) linataka bunge kubuni sheria ya kuanzishwa kwa mahakama ya rufaa ya Kadhi...

Kindiki aonya polisi wanaoshirikiana na wahalifu

NA DAVID MUCHUI WAZIRI wa Usalama wa Ndani, Prof Kithure Kindiki, ameapa kuchukua hatua kali dhidi ya polisi wanaoshirikiana na wahalifu...

Rihana alipwa mabilioni kutumbuiza wageni kwenye sherehe ya bwanyenye India

NA WANDERI KAMAU MWANAMUZIKI Rihanna kutoka Amerika amelipwa Sh1.3 bilioni baada ya kutumbuiza wageni kwenye hafla ya matayarisho ya...

Wakulima wapinga bei ya mbolea ya gharama nafuu

NA SHABAN MAKOKHA WAKULIMA katika kaunti ya Kakamega wamekataa mbolea ya bei nafuu iliyotolewa na kaunti hiyo wakidai bidhaa hiyo inauzwa...