• Nairobi
  • Last Updated March 28th, 2024 9:35 PM

Mmiliki wa kampuni ya gesi iliyolipuka kukaa ndani siku 21

NA RICHARD MUNGUTI MMILIKI wa kiwanda cha gesi cha Embakasi ambako mlipuko ulitokea na kusababisha watu sita kufariki na zaidi ya 300...

Pigo kwa Ruto mahakama ikipiga breki amri ya kulipa karo kupitia e-Citizen

NA JOSEPH OPENDA MAHAKAMA Kuu imesimamisha kwa muda amri ya Wizara ya Elimu ya kuhimiza malipo yote ya karo na ada zingine yafanywe kwenye...

Wabunge watatu wa upinzani wakamatwa

NA MASHIRIKA WABUNGE watatu wa upinzani wamekamatwa nchini Senegal, huku kukiwa na mzozo mkali wa kisiasa. Mvutano huo ni kufuatia hatua...

Dkt Mutua afichua siri ya ongezeko la fisi nchini

NA MAUREEN ONGALA WAZIRI wa Utalii Alfred Mutua ametangaza hali ya hatari kufuatia ongezeko la visa vya fisi kuwavamia wakazi katika...

Kesi ya Sonko kuhusu wizi wa Sh357 milioni nayo yaanguka

NA RICHARD MUNGUTI MAHAKAMA ya kukabiliana na kesi za ufisadi imemwachilia Gavana wa zamani wa Kaunti ya Nairobi Mike Mbuvi Sonko dhidi...

Pombe ya mauti Kirinyaga: Jumla watu 10 wafariki

NA MWANGI MUIRURI KAMISHNA mshirikishi wa eneo la Kati Fred Shisia ametangaza kwamba pombe ya sumu iliyobugiwa katika Kaunti ya...

Huzuni miili ya mama kanisa ikifikishwa mochari ya Murang’a

NA MWANGI MUIRURI WINGU la simanzi lilitanda katika mochari ya Murang'a mnamo Jumanne wakati miili minne ya wanawake wahanga wa ajali...

Wamaasai wapigwa marufuku kutembea na visu vya kitamaduni visiwani Zanzibar

NA CHARLES WASONGA SERIKALI ya Zanzibar imepiga marufuku mtindo wa watu wa jamii ya Maasai kutembea hadharini wakiwa wamebeba silaha za...

Wakazi wa Kangai wateketeza baa ya mauti

NA GEORGE MUNENE WAKAZI wenye ghadhabu wameteketeza baa ambako watu sita Jumanne waliaga dunia huku watano wakipofuka macho kwa muda...

Watu 26 wauawa kwenye mapigano mapya Sudan Kusini

NA REUTERS JUBA, SUDAN KUSINI MAPIGANO yanayoendelea baina ya makundi tofauti magharibi mwa Sudan Kusini yamesababisha vifo vya...

NYS: Waliofungiwa nje kwa sababu ya tattoo waelezea majuto yao

NA MWANGI MUIRURI BAADHI ya vijana waliofika katika vituo vya usajili wa makurutu wa kujiunga na Shirika la Huduma ya Vijana kwa Taifa...

Serikali yafunga viwanda vitatu vya gesi Murang’a

NA MWANGI MUIRURI KAMATI ya usalama ya Murang'a Kusini ikiongozwa na Naibu Kamishna Gitonga Murungi ambaye pia ndiye mwenyekiti,...