• Nairobi
  • Last Updated March 29th, 2024 8:50 AM

Ufisadi: Kenya yalala darasani

NA WANDERI KAMAU HALI ya ufisadi iliongezeka nchini mwaka 2023, imeonyesha ripoti mpya iliyotolewa Jumanne na shirika la Transparency...

Familia ya marehemu Mark Too yapinga jaribio la maskwota

NA RICHARD MUNGUTI FAMILIA ya aliyekuwa mwanasiasa mwenye ushawishi mwingi marehemu Mark Too pamoja na Mwanasheria Mkuu Justin Muturi...

Wavunaji mchanga wachapa kazi licha ya kufukua mafuvu

NA KASSIM ADINASI UVUNAJI wa mchanga kwenye maeneo mengi ya Usonga katika Kaunti ya Siaya unakuja na makubwa yake, la hivi punde likiwa...

Mtakuja kuelewa umuhimu wa kubariki mashoga – Papa

NA MASHIRIKA VATICAN CITY, VATICAN KIONGOZI wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Francis amesema katika mahojiano yaliyochapishwa Jumatatu...

Supkem: Waislamu eneo la Pwani wamuunga Ole Naado

NA KNA VIONGOZI wa baraza Kuu la Waislamu nchini (Supkem) eneo la Pwani wameapa kusimama na mwenyekiti wa baraza hilo Hassan ole...

Savula abaki motoni washtakiwa 13 wakiachiliwa

NA RICHARD MUNGUTI MKURUGENZI wa Mashtaka ya Umma (DPP) Renson Ingonga amewaondolea kesi washukiwa 13 walioshtakiwa pamoja na Naibu...

Tanzia: Kimunya aomboleza kifo cha mkewe

NA WANDERI KAMAU MKEWE aliyekuwa mbunge wa Kipipiri Amos Kimunya, Bi Lucy Kimunya ameaga dunia Jumanne, alipokuwa akipokea matibabu...

Magaidi watumia ajira kuwavutia vijana

NA MANASE OTSIALO MBINU za kusajili vijana kujiunga na vikundi vya magaidi Kaskazini mwa Kenya sasa zimebadilika kwa kasi huku...

NHIF imeoza kwa ufisadi – Nakhumicha

NA LUCY MKANYIKA WAZIRI wa Afya Susan Nakhumicha amesema kuwa ufisadi katika bima ya afya (NHIF), ambayo itabadilishwa na Bima ya...

Ustadh aomba dua kwa Mungu mswada wa nyumba uanguke

NA KALUME KAZUNGU KIOJA kilizuka mjini Mokowe, Lamu, wakati ustadh mmoja wa dini ya Kiislamu aliomba dua kwa Mwenyezi Mungu akitaka...

Kutoboa masikio kulikuwa chanzo cha ndoa kusambaratika, mwanamke alia

NA FRIDAH OKACHI MHANDISI Susan Okeyo, alitengana na mumewe mwaka 2023, baada ya miaka 20, akisema penzi liliingia mdudu alipotoboa...

Mbunge wa Maragua kuendea maji ya wakazi Ikulu

NA MWANGI MUIRURI MBUNGE wa Maragua Mary Wamaua ametisha kwamba atalazimika kuongoza maandamano ya wapigakura wake hadi Ikulu ya Nairobi...