NA RICHARD MUNGUTI WACHUUZI wanne wameshtakiwa kwa kuuzia wateja dawa ya kuua mende ambayo haijaidhinishwa na serikali. Watson Mwangi...
NA CHARLES WASONGA WABUNGE wa Azimio La Umoja-One Kenya Jumatano alasiri waliondoka bungeni kwa hasira baada ya marekebisho...
NA STANLEY NGOTHO POLISI katika eneo la Loitoktok, Kaunti ndogo ya Kajiado Kusini, waliwazuia wahamiaji 90 wakiwemo watoto kutoka Nairobi...
NA KALUME KAZUNGU WAZEE kutoka jamii ya walio wachache ya Waboni, Kaunti ya Lamu sasa inadai kucheleweshwa kwa fidia ya vipande vyao vya...
STEVE OTIENO Na CHARLES WASONGA MAMLAKA Usambazaji Vifaa vya Matibabu Nchini (Kemsa) imemsimamisha kazi kaimu Mkurugenzi wa Ununuzi...
NA BRIAN OCHARO WANAWAKE wawili wamekamatwa kwa tuhuma za kuhusika na ulanguzi wa watoto baada ya kushindwa kutoa taarifa za msingi kuhusu...
NA WYCLIFFE NYABERI KIZAAZAA kilishuhudiwa katika mabunge ya kaunti za Kisii na Laikipia mnamo Jumatano madiwani wa kaunti hizo...
NA CHARLES WASONGA IMEFICHUKA kuwa Tume ya Huduma za Walimu (TSC) imelipa Sh466 milioni kama mishahara kwa walimu-hewa ndani ya kipindi...
NA WANDERI KAMAU DENI la Kenya liliongezeka kwa Sh1.93 trilioni kufikia Desemba mwaka uliopita, hali ambayo imefikisha deni hilo kuwa...
NA CHARLES WASONGA RAIS William Ruto mnamo Jumanne alipata ushindi wa kwanza katika juhudi za serikali yake kuendelea kutoza Wakenya...
NA BARNABAS BII TAHARUKI imegubika wakulima wa nafaka katika eneo la Kaskazini mwa Bonde la Ufa kuhusiana na mpango maalum wa kukusanya...
NA GITONGA MARETE FAMILIA moja kutoka kijiji cha Ngeene, Kaunti ya Meru ilipata mshtuko baada ya kijana wa umri wa miaka 27 kuua mamake na...