• Nairobi
  • Last Updated April 24th, 2024 10:08 PM

Ndege ya KDF yaanguka na kushika moto, watu watano wathibitishwa kufariki

Na CAROLINE WAFULA NDEGE ya Jeshi la Kenya imeanguka na kushika moto katika eneo la Sindar, lokesheni ya Kaben kwenye mpaka wa kaunti za...

Jeshi lakanusha kuhusika katika tukio la kupiga, kuvamiwa kwa kituo cha polisi

NA MWANDISHI WETU JESHI la Kenya limekanusha kuhusika kwa wanajeshi wake katika tukio la kupigwa kwa polisi na kuvamiwa kwa kituo cha...

Polisi sasa wagundua mbinu mpya zinazotumiwa na wauzaji chang’aa

Na STANLEY NGOTHO POLISI wa Kitengela wamefichua mbinu fiche inayotumiwa na wauzaji pombe haramu ambapo wanatumia mikoba ya wanawake...

Wizara yatoa onyo la mafuriko mabwawa ya Masinga, Kindaruma yakivunja kingo

Na WAANDISHI WETU WIZARA ya Usalama wa Ndani imetoa ilani kuhusu uwezekano wa mafuriko zaidi kutokea katika sehemu mbalimbali nchini...

Nakhumicha ataka hospitali zikubali NHIF akisema madeni yote yatalipwa

NA WINNIE ONYANDO WAZIRI wa Afya, Susan Nakhumicha, Jumatano alitoa wito kwa vituo vya Afya nchini kuwahudumia wagonjwa wanaotumia...

Ndege zaelea kwenye mafuriko na kulazimu uwanja kufungwa

NA MASHIRIKA DUBAI, MILKI ZA KIARABU (UAE) UWANJA wa ndege wa Kimataifa wa Dubai umefungwa kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na...

Watu wafia majumbani madaktari wakigoma

Na WAANDISHI WETU WAGONJWA wanaendelea kupoteza maisha kwa wingi nyumbani kufuatia mgomo wa madaktari unaoendelea kote nchini. Familia ya...

Watu tisa waliokamatwa kwa kumzomea mke wa rais waachiliwa

NA MASHIRIKA WANAWAKE tisa waliokamatwa nchini Zimbabwe kwa madai ya kumzomea mke wa rais Auxillia Mnangagwa wameondolewa mashtaka,...

Mshukiwa wa ujambazi asimulia walivyoua wanawake alipokuwa genge la Confirm Nakuru

Na JOSEPH OPENDA MAKOSA ya mshukiwa mkuu katika mauaji ya kinyama ya wanawake katika eneo la Mawanga, Kaunti ya Nakuru, yaliyotekelezwa...

Mkurugenzi wa zamani wa makavazi Mzalendo Kibunjia ashtakiwa kwa wizi wa Sh491m

Na RICHARD MUNGUTI MKURUGENZI mkuu wa zamani wa makavazi ya kitaifa (NMK) Mzalendo Kibunjia ameshtakiwa kwa ulaghai wa Sh491...

Mtajuta kuturushia makombora, Mkuu wa Jeshi Israel aambia Iran akiapa kulipiza kisasi

Na MASHIRIKA JERUSALEM, Israel MKUU wa Jeshi la Israel Herzi Halevi ameapa kujibu shambulio la Iran huku miito ya kuitaka Israeli...

Spika wa Nairobi mashakani kwa ‘kulazimisha’ salamu na mwanamke Muislamu

NA NDUBI MOTURI  SPIKA wa Bunge la Kaunti ya Nairobi Ken Ng’ondi amejikuta mashakani baada ya video kufichuka ikimuonyesha...