• Nairobi
  • Last Updated April 25th, 2024 9:12 AM

Serikali kuuza hisa zake katika hoteli saba

NA CHARLES WASONGA SIKU chache baada ya Rais William Ruto kupiga abautani na kusitisha ubinafsishaji wa kampuni tano za sukari...

Wakenya kuumia bei za gesi ya kupikia zikianza kupanda tena

BRIAN AMBANI Na WANDERI KAMAU WAKENYA wataanza kuumia tena, baada ya bei ya gesi ya kupikia kuongezeka. Hali hiyo imetajwa kuchangiwa na...

Punda wakamatwa kwa kufunza watoto tabia mbaya

NA KALUME KAZUNGU WAMILIKI wa punda ambao huwaachilia wanyama hao kurandaranda ovyo mitaani kisiwani Lamu huenda wakaanza kuadhibiwa kwa...

Gari la Kiptum lilikuwa katika hali shwari ya kimitambo, uchunguzi wabaini

CAROL WAFULA NA JOHN ASHIHUNDU MATOKEO ya hivi punde zaidi kuhusu uchunguzi wa gari alilokuwa akiendesha Kelvin Kiptum yameonyesha...

E-Citizen pigo kwa wazazi wanaolipa karo kupitia kwa bidhaa za shambani

NA GEORGE ODIWUOR MFUMO mpya wa kulipa karo kidijitali kupitia tovuti ya e-Citizen umezua kizungumkuti kwa wazazi wanaotegemea mbinu...

Polisi 4 wanaodaiwa kuiba pombe yenye sumu na kuuzia mfanyabiashara wazuiliwa

NA GEORGE MUNENE MAHAKAMA ya Baricho mnamo Jumanne iliwaruhusu polisi kuwazuilia wenzao wanne wanaodaiwa kuiba pombe vyenye sumu...

Mwadime awatetea mawaziri wanaoshinikizwa kujiuzulu kwa kuzembea

NA LUCY MKANYIKA GAVANA wa Kaunti ya Taita Taveta Andrew Mwadime amewapuuza wakosoaji wake wanaomlaumu kwa kushindwa kuboresha sekta ya...

DPP awasilisha notisi ya rufaa kupinga Jacque Maribe kuondolewa kosa la mauaji

NA RICHARD MUNGUTI MKURUGENZI wa Mashtaka ya Umma (DPP) Renson Ingonga amewasilisha notisi ya kukata rufaa kupinga uamuzi wa mahakama...

Mchezo wa kisiasa aliocheza Riggy G uliomfanya Ndindi Nyoro kukunja mkia Mlimani

NA LUCAS BARAZA NAIBU Rais, Rigathi Gachagua, alidhihirisha ubabe wake wa kisiasa eneo la Mlima Kenya alipovamia ngome ya mpinzani wake...

Waziri wa Ulinzi wa Amerika alazwa tena hospitalini kwa tatizo la kibofu

NA MASHIRIKA WAZIRI wa Ulinzi wa Amerika, Lloyd Austin, alilazwa hospitalini mjini Washington Jumapili kwa matibabu ya “dalili...

Majonzi nyota wa rekodi ya dunia ya marathon, Kiptum akiaga dunia

CAROLINE WAFULA NA BERNARD ROTICH MSHIKILIZI wa rekodi ya dunia ya mbio za marathon Kelvin Kiptum na kocha wake raia wa Rwanda Garvais...

Polisi wa ngazi za juu wa zamani King’ori Mwangi afariki akipokea matibabu

NA WANDERI KAMAU NAIBU Inspekta Jenerali wa Polisi wa zamani, Bw King’ori Mwangi, ameaga dunia. Kwenye taarifa, familia yake ilisema...