NA ALEX KALAMA MVULANA Issa Ali aliyefanya Mtihani wa Kitaifa wa Darasa la Nane (KCPE 2023) na kupata alama 259 kutoka Shule ya Msingi...
NA CHARLES WASONGA ALIYEKUWA Mkuu wa Utumishi wa Umma Balozi Francis Muthaura amerejea tena serikalini kufuatia uteuzi wa hivi punde...
NA CHARLES WASONGA MAGAVANA wamefufua mvutano kati yao na serikali ya kitaifa kuhusu kucheleweshwa kwa fedha za mgao wa bajeti kwa kaunti...
NA BRIAN OCHARO Mama aliyeokolewa katika msitu wa Shakahola amelazwa katika hospitali ya Port Reiz mjini Mombasa kwa matibabu ya kiakili...
NA WYCLIFFE NYABERI Shirikisho la Soka nchini Tanzania (TFF) limemsimamisha kazi kocha wa timu ya taifa ya wanaume Taifa Stars, Adel...
NA MERCY KOSKEI PICHA mpya za kamera za CCTV zikionyesha dakika za mwisho za Dkt Laban Kiptoo aliyeuawa kwa njia tata zimepatikana huku...
Na RICHARD MUNGUTI RAIS William Ruto ameendelea kupata anachotaka, huku uamuzi wa jana wa Mahakama ya Juu kuhusu Bima ya Afya ya jamii...
NA CHARLES WASONGA RAIS William Ruto amemteua aliyekuwa Mhariri Mkuu Mtendaji wa shirika la habari la Nation Media Group (NMG) Tom Mshindi...
NA RICHARD MUNGUTI MFANYABIASHARA Deepak Kamani pamoja na nduguye Rashmi Kamani na makatibu wa zamani wa wizara Dave Mwangi, Joseph...
NA RICHARD MUNGUTI BABA yake msichana anayekabiliwa na shtaka la kumuua aliyekuwa Kaimu Mkurugenzi wa Fedha Nairobi Hospital Eric...
NA WANDERI KAMAU SHIRIKA la Fedha Duniani (IMF), Alhamisi liliidhinisha Kenya kupewa mkopo mpya wa Sh150 bilioni. Kinaya ni kuwa, hili...
NA WANDERI KAMAU CHAMA cha ODM kimelalamikia “kukaziwa” mgao wa fedha zake na serikali, licha ya Afisi ya Usajili wa Vyama vya...