• Nairobi
  • Last Updated March 28th, 2024 1:29 PM

Ruto akaidi Amerika kuhusu marufuku dhidi ya shughuli za WorldCoin

NA EDWIN MUTAI KENYA imekataa shinikizo kutoka kwa serikali ya Amerika kuhusu kuondoa marufuku dhidi ya mradi wa uwekezaji kidijitali...

KRA yaagiza ushuru wa nyumba kutekelezwa kuanzia Machi 19

NA CHARLES WASONGA MAMLAKA ya Kukusanya Ushuru Nchini (KRA) sasa imeagiza kuwa utozaji wa ushuru wa nyumba utekelezwe kuanzia Machi 19,...

Maafisa wakuu wa serikali kuzimwa kutumia Tiktok – Kindiki

NA CHARLES WASONGA SERIKALI haitapiga marufuku matumizi ya mtandao wa kijamii wa TikTok lakini itawazima maafisa wake wakuu ili wasitumie...

Tanzia: Kamishna wa Lamu, Louis Rono aaga dunia

NA KALUME KAZUNGU KAMISHNA wa Kaunti ya Lamu Louis Rono ameaga dunia wakati alikuwa akipokea matibabu mapema Alhamisi katika hospitali...

Corona imerudi?

HELLEN SHIKANDA Na MERCY CHELANGAT MADAKTARI wanatahadharisha kuwa kuna ongezeko la maambukizi ya magonjwa ya kupumua huku baadhi ya...

Mwanamume ashtakiwa kumtishia gavana atoboke Sh240m

NA RICHARD MUNGUTI MWANAMUME ameshtakiwa kwa kudai kwa vitisho Sh240 milioni kutoka kwa Gavana wa Kakamega Fernandes Odinga...

Mahakama yazuia kiti cha Monda kutangazwa wazi

NA WYCLIFFE NYABERI MAHAKAMA Kuu imesimamisha mipango yoyote ya kukitangaza wazi kiti cha unaibu gavana wa Kisii kwenye Gazeti rasmi la...

Kenya bado yalengwa na magaidi – ripoti

NA STEVE OTIENO KENYA ni miongoni mwa nchi 20 zinazoongoza kwa kushambuliwa na magaidi katika orodha inayotawaliwa na mataifa ya Afrika...

Hospitali yachunguzwa kwa utepetevu uliosababisha mtoto kukatwa mkono

NA LUCY MKANYIKA BARAZA la Uuguzi Nchini limeanzisha uchunguzi wa kina kuhusu madai ya utepetevu katika hospitali ya Wesu iliyoko katika...

Hatimaye Arati amteua naibu wake

NA WYCLIFFE NYABERI GAVANA wa Kisii Simba Arati amemteua mwenyekiti wa sasa wa Bodi ya Utumishi wa Umma katika Kaunti (CPSB), Bw Elijah...

Kindiki aonya magenge ya ujambazi Magharibi mwa Kenya

NA JESSE CHENGE WAZIRI wa Wizara ya Usalama wa Ndani Kithure Kindiki ametoa onyo kali kwa magenge yanayotekeleza ujambazi Magharibi mwa...

Azimio yalaumu serikali kwa kuchelewesha fedha za kupiga jeki elimu

NA CHARLES WASONGA KUNDI la wabunge wa muungano wa Azimio la Umoja–One Kenya limeitaka serikali kutoa pesa ambazo shule za upili...