NA EDWIN MUTAI KENYA imekataa shinikizo kutoka kwa serikali ya Amerika kuhusu kuondoa marufuku dhidi ya mradi wa uwekezaji kidijitali...
NA CHARLES WASONGA MAMLAKA ya Kukusanya Ushuru Nchini (KRA) sasa imeagiza kuwa utozaji wa ushuru wa nyumba utekelezwe kuanzia Machi 19,...
NA CHARLES WASONGA SERIKALI haitapiga marufuku matumizi ya mtandao wa kijamii wa TikTok lakini itawazima maafisa wake wakuu ili wasitumie...
NA KALUME KAZUNGU KAMISHNA wa Kaunti ya Lamu Louis Rono ameaga dunia wakati alikuwa akipokea matibabu mapema Alhamisi katika hospitali...
HELLEN SHIKANDA Na MERCY CHELANGAT MADAKTARI wanatahadharisha kuwa kuna ongezeko la maambukizi ya magonjwa ya kupumua huku baadhi ya...
NA RICHARD MUNGUTI MWANAMUME ameshtakiwa kwa kudai kwa vitisho Sh240 milioni kutoka kwa Gavana wa Kakamega Fernandes Odinga...
NA WYCLIFFE NYABERI MAHAKAMA Kuu imesimamisha mipango yoyote ya kukitangaza wazi kiti cha unaibu gavana wa Kisii kwenye Gazeti rasmi la...
NA STEVE OTIENO KENYA ni miongoni mwa nchi 20 zinazoongoza kwa kushambuliwa na magaidi katika orodha inayotawaliwa na mataifa ya Afrika...
NA LUCY MKANYIKA BARAZA la Uuguzi Nchini limeanzisha uchunguzi wa kina kuhusu madai ya utepetevu katika hospitali ya Wesu iliyoko katika...
NA WYCLIFFE NYABERI GAVANA wa Kisii Simba Arati amemteua mwenyekiti wa sasa wa Bodi ya Utumishi wa Umma katika Kaunti (CPSB), Bw Elijah...
NA JESSE CHENGE WAZIRI wa Wizara ya Usalama wa Ndani Kithure Kindiki ametoa onyo kali kwa magenge yanayotekeleza ujambazi Magharibi mwa...
NA CHARLES WASONGA KUNDI la wabunge wa muungano wa Azimio la Umoja–One Kenya limeitaka serikali kutoa pesa ambazo shule za upili...