NA JANET KAVUNGA SHANZU, MOMBASA MWANADADA wa hapa aliwaita makalameni wawili waliokuwa wakimmezea mate kwa kikao na kutaka kila...
NA JANET KAVUNGA MALINDI MJINI JOMBI wa hapa alijuta kukutana na mpenzi wake wa zamani, mkewe alipopata habari na kumfokea...
NA CORNELIUS MUTISYA MUTITU, MACHAKOS KIOJA kilishuhudiwa hapa mwanadada alipozushia mumewe akimlaumu kwa kumnyima haki yake ya tendo...
NA JANET KAVUNGA BAMBURI, MOMBASA BAROBARO aliyefika eneo hili kujivinjari, alibaki mdomo wazi kipusa anayefanya kazi katika hoteli...
NA CORNELIUS MUTISYA IVETI, MACHAKOS PASTA mmoja eneo hili, aliwaudhi waombolezaji alipodai marehemu alitolewa kafara na jamaa...
NA DENNIS SINYO MASABA, CHEPTAIS JOMBI aliyekuwa na mazoea ya kubeba vidosho bila kuwalipisha kwenye pikipiki yake, ameacha kazi hiyo...
Na JANET KAVUNGA BAMBURI, MOMBASA MWANADADA aliyeolewa hapa aliacha wenzake midomo wazi alipowaambia kwamba mumewe amemhurusu awe...
NA CORNELIUS MUTISYA NZAIKONI, MACHAKOS MGANGA mmoja alizua rabsha katika boma la buda mteja wake akidai malipo ya huduma. Ilifichuka...
Na JANET KAVUNGA MOMBASA MJINI KIPUSA mmoja mjini hapa aliwalilia wenzake wamsaidie akisema wanaume wamekuwa wakimtoroka punde tu...
NA JANET KAVUNGA MALINDI MJINI MUMAMA mmoja mjini hapa alimtimua benten aliyekuwa amemweka kinyumba, barobaro huyo alipoanza...
NA MWANGI MUIRURI MURANG'A MJINI POLO mmoja mwingi wa tamaa ya pombe alibugia mkojo nusu glasi baada ya kupangiwa njama ya adhabu...
NA MWANGI MUIRURI MURANG'A POLO dereva wa teksi aliyekula Sh40,000 za karao wa Murang'a sasa anajutia kitendo chake akiwa kwenye...