• Nairobi
  • Last Updated April 19th, 2024 8:55 PM

Wazee wamfanyia kidosho tambiko kwa kutusi nyanya mkwe

NA JANET KAVUNGA SOKOKE, KILIFI WAZEE katika kijiji kimoja hapa walifanya tambiko kumtakasa mwanadada mmoja baada ya kulaaniwa na...

Aibu tupu mke wa mwanasiasa kukataa kuandalia wafuasi chai

NA NICHOLAS CHERUIYOT ABOSI, SOTIK MWANASIASA limbukeni kutoka eneo hili alipata aibu ya mwaka mkewe alipohepa bila kuandalia chai...

Warembo waangushana kuona kiongozi wa vijana akiwa na gari

Na LEAH MAKENA SOUTH C, NAIROBI WAREMBO katika kanisa la hapa walishangaza washiriki walipoangushana chini wakipigania gari la kiongozi...

Faini ya jogoo 3, mbuzi 2 kwa kula uroda na jirani

NA TOBBIE WEKESA MATUNGU, MUMIAS MWANADADA aliyeolewa maeneo haya alipigwa faini ya jogoo watatu na mbuzi wawili, baada ya kupatikana...

Waya ya stima yakatiza uraibu wa kozimeni aliyetesa wenyeji

DIMBWINI LIKONI Na DOMINIC MAGARA TABIA YA MLOFA mmoja kuchungulia madirisha ya watu wakiwa wamelala, imefikia kikomo pale alipogusa...

Kisura azua fujo kwa kalameni akidai Sh5,000 zamshusha bei

UKUNDA,KILIFI Na DOMINIC MAGARA KIDOSHO mmoja alikataa kushuka kutoka gari la windo lake akidai kulipwa Sh 10,000 kama ada ya kukesha...

Ni mguu niponye pasta akifuata waumini kwa mama pima kijijini

Kimuka ,KAJIADO Na TOBBIE WEKESA KIZAAZAA kilizuka eneo hili mapolo walipoacha glasi zao za vinywaji na kuchomoka mbio baada ya kuona...

Mlofa mwizi ajuta baada ya simu kuita jina la mwenyewe

Na DOMINIC MAGARA KISAUNI, MOMBASA KALAMENI anajuta kuiba simu ya mkono sokoni ilipoanza kuita jina lake alipoifungua. Kioja...

Mama mboga ‘aoza’ binti kwa mteja wa kila siku

Na TOBBIE WEKESA BUNYALA, BUSIA MAMA mboga wa eneo la hapa aliwaacha wengi vinywa wazi alipompa polo binti yake kama...

Boda atupwa nje kwa kutafuna muguka huku ibada ikiendelea

Na CHARLES ONGADI MAJAONI, MOMBASA BODABODA mmoja wa hapa alifurushwa kutoka kanisani kwa kutafuna muguka mahubiri...

Ghulamu mtukutu apiganisha wazazi

Na NICHOLAS CHERUIYOT MOGOIYWET, Narok GHULAMU mtukutu kutoka eneo hili aliwagonganisha wazazi wake kwa kutoroka kutoka shule ya...

Arudi na zawadi alipokosa mlo harusini

Na LEAH MAKENA KEROKA, Kisii MAMA wa hapa alishangaza wengi alipokataa kupeana zawadi kwa maharusi na kurejea nayo nyumbani kwake kwa...