YALA, Siaya Na JOHN MUTUKU SAMUEL KALAMENI eneo hili alibubujikwa na machozi na kujitupa miguuni mwa demu kumuomba asimteme lakini...
Na MWANDISHI WETU Kangemi, Nairobi Jombi mtaani hapa ambaye ni seremala tajika aliamua kukarabati kitanda cha jirani yake bila...
Na JOHN MUSYOKI MATUU, MACHAKOS KIOJA kilishuhudiwa katika ploti moja mtaani hapa, jamaa alipopiga nduru baada ya mama aliyetarajia...
Na MWANDISHI WETU KIEMBENI, MOMBASA KALAMENI wa hapa alijipata kwenye njia panda baada ya mkewe aliyemuoa takribani miaka mitano...
Na JOHN MUTUKU SAMUEL DEMU aliyesifika mtaani hapa kwa ujanja wake wa kuwatapeli wanaume maelfu ya pesa baada ya kula uroda nao,...
Na TOBBIE WEKESA UGWERI, RUNYENJES WAUMINI wa kanisa moja lililoko hapa walitishia kumtimua pasta wao wakidai alikuwa...
Na MWANDISHI WETU KAGIO, KIRINYAGA BUDA eneo hili alilazimika kulipa mwanamume mwenzake nusu milioni jamaa zake wakishuhudia baada ya...
Na TOBBIE WEKESA MSAKASA, Bungoma KIZAAZAA kilizuka eneo hili baada ya wazee kumlazimisha mganga kuwagawia sehemu ya faida...
Na JOHN MUSYOKI KIVAA, MASINGA WAKAZI walishuhudia sinema ya bwerere mwanamke mmoja alipoamuru nyumba ya mwanawe ibomolewe ili auze...
Na JOHN SAMUEL MUTUKU BAHATI, NAKURU POLO wa eneo hili aliyekuwa akijiandaa kuoa alipata mshangao atakaochukua muda mrefu kusahau...
Na TOBBIE WEKESA ROYSAMBU, Nairobi KIZAAZAA kilizuka eneo hili polo alipokatiziwa raha ya kuchovya asali katika chumba cha mpenzi...
Na JOHN MUTUKU SAMUEL PIPELINE, NAIROBI POLO mtaani hapa alijifungia ndani ya nyumba kwa siku kadhaa kujiuguza baada ya kufinywa...