• Nairobi
  • Last Updated April 19th, 2024 5:47 PM

Polo ajifanya sonko kumbe kijijini ni hoi

YALA, Siaya Na JOHN MUTUKU SAMUEL KALAMENI eneo hili alibubujikwa na machozi na kujitupa miguuni mwa demu kumuomba asimteme lakini...

Polo akarabatia jirani kitanda kisilie

Na MWANDISHI WETU Kangemi, Nairobi  Jombi mtaani hapa ambaye ni seremala tajika aliamua kukarabati kitanda cha jirani yake bila...

Atumia kahaba kuzima polo msumbufu

Na JOHN MUSYOKI MATUU, MACHAKOS KIOJA kilishuhudiwa katika ploti moja mtaani hapa, jamaa alipopiga nduru baada ya mama aliyetarajia...

Mke asukumia mume mhanyaji kipusa

Na MWANDISHI WETU KIEMBENI, MOMBASA KALAMENI wa hapa alijipata kwenye njia panda baada ya mkewe aliyemuoa takribani miaka mitano...

Ujanja wa kahaba wazimwa na mganga

Na JOHN MUTUKU SAMUEL DEMU aliyesifika mtaani hapa kwa ujanja wake wa kuwatapeli wanaume maelfu ya pesa baada ya kula uroda nao,...

Waumini wafokea pasta dikteta

Na TOBBIE WEKESA UGWERI, RUNYENJES WAUMINI wa kanisa moja lililoko hapa walitishia kumtimua pasta wao wakidai alikuwa...

Buda aliyefumaniwa alipa Sh0.5m

Na MWANDISHI WETU KAGIO, KIRINYAGA BUDA eneo hili alilazimika kulipa mwanamume mwenzake nusu milioni jamaa zake wakishuhudia baada ya...

Wazee wadai ‘kitu kidogo’ kwa mganga

Na TOBBIE WEKESA MSAKASA, Bungoma KIZAAZAA kilizuka eneo hili baada ya wazee kumlazimisha mganga kuwagawia sehemu ya faida...

Kioja mama akiuza shamba aponde raha

Na JOHN MUSYOKI KIVAA, MASINGA WAKAZI walishuhudia sinema ya bwerere mwanamke mmoja alipoamuru nyumba ya mwanawe ibomolewe ili auze...

Watoto wa demu wadharau sponsa

Na JOHN SAMUEL MUTUKU BAHATI, NAKURU POLO wa eneo hili aliyekuwa akijiandaa kuoa alipata mshangao atakaochukua muda mrefu kusahau...

Fisi aibiwa tairi akila vya haramu

Na TOBBIE WEKESA ROYSAMBU, Nairobi KIZAAZAA kilizuka eneo hili polo alipokatiziwa raha ya kuchovya asali katika chumba cha mpenzi...

Polo auguza nyeti kisiri nyumbani

Na JOHN MUTUKU SAMUEL PIPELINE, NAIROBI POLO mtaani hapa alijifungia ndani ya nyumba kwa siku kadhaa kujiuguza baada ya kufinywa...