Cythia Sydney Cherop 21, ni mwanamitindo wa eneo la Shaabab Kaunti ya Nakuru. Muda wake anapenda kusafiri na kutazama filamu....
Michelle Kenda 22, ni mwanamitindo wa Kaunti ya Nakuru. Uraibu wake ni kuandika makala ya kufanyia utafiti. Picha/Richard Maosi
Monica Wanjiru mwenye umri wa miaka 22, ni mwanafunzi katika taasisi ya Kenya Medical Training Institute kaunti ya Uasin Gishu. Analenga...
Pendo Kwamboka amehitimu miaka 21, yeye ni mwanafunzi wa Uanahabari katika Taasisi ya Rift Valley ya Sayansi na Teknolojia. Muda wake...
Mariam Ondara mwenye umri wa miaka 25 ni mjasiriamali katika kampuni moja eneo la Njoro Nakuru. Uraibu wake ni kusakata densi na kusafiri....
Faith Kwamboka, 21, ni mzaliwa wa Kaunti ya Kisii, yeye ni mfanyibiashara na mwanafunzi wa uanahabari katika taasisi moja mjini Nairobi....
Kendly Ann mwenye umri wa miaka 22 ni mfanyibiashara na mwanamitindo katika Kaunti ya Nairobi. Anapenda kusikiliza muziki na kutangamana na...
Dorcas Dee Jeruto mwenye umri wa miaka 20 ni mwigizaji wa filamu kutoka Kaunti ya Nakuru. Uraibu wake ni kusoma, kuogelea na kupiga picha....
Ruth Chumba mwenye umri wa miaka 21 ni mwigizaji shupavu wa filamu za kizazi kipya kutoka kaunti ya Nakuru. Uraibu wake ni kusoma na...
Yvonne Mirera 22, ni mzaliwa wa Kakamega. Uraibu wake ni kujumuika na marafiki na kucheza soka. Picha/Richard Maosi
Becky Makaka mwenye umri wa miaka 21, ndiye anatupambia wavuti letu leo. Yeye ni mkazi wa eneo la Kenlands kaunti ya Nakuru. Mbali na kuwa...
Najib Dollow ni mzaliwa wa kaunti ya Nakuru kwa sasa amehitimu miaka 28.Yeye ni mfanyibiashara na mwanafasheni. Uraibu wake ni kutazama...