• Nairobi
  • Last Updated April 16th, 2024 6:55 PM

BI TAIFA AGOSTI 1, 2020

Wendy Gakii mwenye umri wa miaka 27 ni mzaliwa wa Chuka kaunti ya Meru. Anapenda kusafiri na kutazama filamu. Picha/Richard Maosi

BI TAIFA APRILI 19, 2020

Faith Sonoi, 24, ni mkazi wa mtaa wa Shabbab kaunti ya Nakuru. Uraibu wake ni kucheza magongo na kujumuika na marafiki. Picha/Richard Maosi

BI TAIFA APRILI 18, 2020

Winnie Soyo, 25, ni mzaliwa wa kaunti ya Kericho. Uraibu wake ni kuzuru mbuga za wanyama na kukutana na marafiki wapya. Picha/Richard Maosi

BI TAIFA APRILI 17, 2020

Hannah Koi Mark, 22,ni mwenyeji wa kaunti ya Taita Taveta, yeye ni mlimwende wa mitindo ya kiasili na mtafiti wa fasheni. Uraibu wake ni...

BI TAIFA APRILI 16, 2020

Hanna Njeri mwenye umri wa 23 ni mfanyibiashara kutoka kaunti ya Nakuru. Mbali na kujihusisha na ulimwende anapenda kusakata densi na...

BI TAIFA APRILI 15, 2020

Malkia wetu anajulikana kama Monica Maina, amehitimu miaka 26. Yeye ni mzaliwa wa Kitale. Uraibu wake ni kusafiri, kupika na kutazama...

BI TAIFA APRILI 14, 2020

Ann Nyokabi amehitimu miaka 26, yeye ni mfanyibiashara kutoka Kitale. Uraibu wake ni kusikiliza muziki na kutazama filamu. Picha/Richard...

BI TAIFA APRILI 13, 2020

Mercy Wanjiku, 22, ni mwanamitindo na mfanyibiashara kutoka kaunti ya Nakuru. Uraibu wake ni kuogelea na kutalii mazingira...

BI TAIFA APRILI 12, 2020

Sharon Blaine ni mwanamitindo maarufu kutoka kaunti ya Kisumu, mbali na kukuza vipaji vya ulimbwende anapenda kujihusisha na majukwaa ya...

BI TAIFA APRILI 11, 2020

Mercy Mesie ni mjasiriamali katika kitengo cha utalii nchini, mbali na kuwahamasisha vijana wajianzishie miradi ya kujiendeleza anapenda...

BI TAIFA APRILI 10, 2020

Sharon Cheptoo, 21, ni mwanafunzi kutoka Chuo Kikuu Cha Maasai Mara, Kaunti ya Narok. Uraibu wake ni kusakata kabumbu na kuchora....

BI TAIFA APRILI 9, 2020

Linda Chemuta, 24, ni mzaliwa wa kaunti ya Uasin Gishu. Uraibu wake ni kusafiri, kusakata densi na kusakata kabumbu. Picha/Richard...