Vivian Moraa, 20, ni mzaliwa wa eneo la Keroka kaunti ya Kisii. Ni mwanahabari chipukizi na mtaalamu wa kurekodi muziki. Uraibu wake ni...
Mary Ndindi Mbeti, 23, ni mwanamitindo eneo la Diani, Mombasa na mtaalamu wa masuala ya utalii. Anapenda kutalii, kuogelea na kupika....
Everlyne Kisilu ni mwanamitindo jijini Nairobi. Anapenda kusafiri, kusakata densi na kutazama filamu. Picha/ Richard Maosi
Bi Mary Wambui kutoka Elburgon ni mwanamitindo. Uraibu wake ni kuogelea, kusafiri na kukutana na marafiki. PICHA/JOHN NJOROGE.
Bi Mirriam Wairimu, kutoka Elburgon ni mwanafunzi wa chuo kikuu cha Cooperative jijini Nairobi. Uraibu wake ni kusafiri, kutazama filamu na...
Bi Teresiah Wairimu, 22 kutoka Elburgon katika kaunti ya Nakuru anapenda kusoma, kusafiri na kuogelea. PICHA/JOHN NJOROGE.
Scholar Wanjiru, 21 mzaliwa na mkazi wa Elburgon ambaye ni mwanafunzi wa chuo kikuu cha Kiriri mjini Nairobi ndiye mgeni wetu. Uraibu wake...
Suzannah Njeri, 20, ni mrembo kutoka Kaunti ya Narok. Anependa kutazama filamu, kuogelea na kusikiza muziki. Picha/ Richard Maosi
Mercy Wanjiku Mbugua, 22, kutoka Nairobi ni mwanamitindo. Anapenda kusafiri na kujumuika na marafiki. Picha/Richard Maosi
Latifah Wangeci, 20, ni mkazi wa Mawanga kaunti ya Nakuru. Uraibu wake ni kusakata densi na kutazama filamu za Soap...
Purity Kalegi, 21, ni nfanyibiashara na mwanamitindo kutoka jijini Nairobi. Uraibu wake ni kupika,kuogelea na kujumuika na...
Victoria Vique ni mtaalamu wa mapambo na mavazi miongoni mwa vijana kutoka Gilgil, wakati wake mwingi anapenda kusafiri na...