• Nairobi
  • Last Updated April 19th, 2024 8:55 PM

Chifu adai polisi wanahujumu vita dhidi ya pombe haramu

NA FRIDAH OKACHI MAAFISA wa serikali katika baadhi ya maeneo sasa wanahujumiana katika vita dhidi ya pombe haramu, imefichuka. Chifu wa...

ODM itasalia imara hata bila Raila – Oparanya

NA SHABAN MAKOKHA VIONGOZI wa chama cha Orange Democratic Movement (ODM) wamesema chama hicho bado kitabaki imara hata kama kinara wao...

Jimmy ‘Barbecue’ Cherizier: Polisi wa zamani anayeongoza magenge ya uhalifu nchini Haiti

WANDERI KAMAU Na MASHIRIKA JE, ni nini kiini cha makabiliano makali ambayo yamekuwa yakiendelea nchini Haiti baina ya vikosi vya...

Kilio sheria mpya kutokomeza ulevi zinaleta mianya ya hongo

NA MWANGI MUIRURI TANGU serikali itoe amri kwamba maafisa wakuu wa usalama, wale wa ukadiriaji ubora wa bidhaa, na walio katika huduma...

Pasta Ng’ang’a ‘atoa makucha’ EACC ikimwandama kuhusu ardhi ya Kanisa

NA WANDERI KAMAU MVUTANO baina ya Pasta James Ng’ang’a na Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi (EACC) unaendelea kutokota kuhusu...

Wanasayansi wapigia debe ulaji wa wadudu

NA HELLEN SHIKANDA HUKU idadi ya binadamu ikiendelea kuongezeka ulimwenguni na chakula kuwa haba, wanasayansi wamebaini kuwa kula wadudu...

Zuchu aomba radhi kwa onyesho ‘lisilofaa’

NA FRIDAH OKACHI MWANAMUZIKI Zuhura Othman Soud almaarufu Zuchu alilazimika kuomba radhi baada ya mamlaka kusitisha shughuli zake zote za...

Henry Chakava: Lenzi iliyowaweka soko Ngugi wa Thiong’o, Chinua Achebe katika Fasihi

NA WANDERI KAMAU KIFO cha mchapishaji vitabu Henry Chakava mnamo Ijumaa, kimefunga ukurasa wa mchapishaji wa kipekee, aliyejitosa kwenye...

Wahubiri walia waliofungiwa riziki kwa baa kufungwa huingia kanisani bila sadaka

NA MWANGI MUIRURI WACHUNGAJI katika eneo la Mlima Kenya sasa wanalalamika kwamba vita vinavyoendelea dhidi ya baa na walevi, vinaathiri...

Ugumu wa kupambana na wezi wa mananasi Del Monte

NA MWANGI MUIRURI WADAU wa vitengo vya usalama Kaunti ya Murang’a wamefichua kwamba kibarua cha kupambana na wezi wa mananasi katika...

Kinaya nduguye Monicah kumtaka Jowie kupasha wanahabari mauaji aliyotekeleza

NA RICHARD MUNGUTI ILIKUWA ni kinaya kwa George Kimani kumsihi Joseph Irungu almaarufu Jowie amsaidie kuarifu vyombo vya habari mauaji...

Embarambamba akubali kurudi kwa laini

NA FRIDAH OKACHI MWANAMUZIKI wa Injili Christopher Nyangwara Mosioma almaarufu ‘Embarambamba’ amesema anaacha kuvalia mavazi ya...