• Nairobi
  • Last Updated March 28th, 2024 9:35 PM

Ifahamu ala ya muziki isiyopigwa na watu goigoi

NA KALUME KAZUNGU MJA anaposikiliza au kupokea tumbuizo mbalimbali mara nyingi hujihisi ameburudika na kuliwazika. Tumbuizo au muziki...

DCI walivyorudi zero baada ya kukosa kuhusisha Wanigeria wawili na kifo cha Waeni

NA RICHARD MUNGUTI GIZA limegubika uchunguzi wa mauaji ya kinyama ya mwanafunzi wa chuo kikuu Rita Waeni baada ya washukiwa wawili...

Kwangu ni kazi tu, asema mpasuaji mkuu wa maiti

NA LEON LIDIGU KWA miaka mingi Daktari Mkuu wa serikali anayehusika na upasuaji wa maiti, Dkt Johansen Oduor, amekuwa akifanya upasuaji wa...

Fahamu jinsi ‘airbags’ zinavyofanya kazi kumlinda mwathiriwa wa ajali

NA WANDERI KAMAU JE, unafahamu jinsi airbags (mifuko ya hewa) zinavyomzuia mtu kuumia ajali ya gari inapotokea barabarani? Huku watu...

Jamii yairai familia isiyoamini tiba za kisasa ibadili msimamo

NA FRIDAH OKACHI FAMILIA moja katika eneo la Ngando, eneobunge la Dagoretti Kusini, haijakumbatia matibabu ya kisasa...

Wanawake wasiojua kuendesha baiskeli hatarini kukosa waume

NA KALUME KAZUNGU MPEKETONI ni miongoni mwa miji muhimu ipatikanayo katika eneobunge la Lamu Magharibi. Mji huo ni ngome kuu ya...

Manda yageuka maskani ya mapumziko kwa simba, chui na nyoka

NA KALUME KAZUNGU MANDA ni miongoni mwa zaidi ya visiwa 35 vya Lamu ambapo tangu jadi simba, chui na nyoka hupendelea kuzurura. Kisiwa...

Miracle Baby wa muziki wa kidunia aapa kumtumikia Mungu

NA FRIDAH OKACHI MWANAMUZIKI wa Gengetone, Peter Mwangi almaarufu 'Miracle Baby' amefichua nia yake ya kuwa mhubiri pindi tu...

Men’s Conference: Kongamano la mashambulizi shtukizi ya kulinda ‘boychild’

NA WANDERI KAMAU MIAKA michache iliyopita, neno ‘Men’s Conference’, yaani Kongamano la Wanaume, lilikuwa tamko tu la kimzaha kwenye...

Wanawake Lamu wadai ladha ya ndoa ni ‘kuwakalia chapati’ waume

NA KALUME KAZUNGU WANAWAKE katika Kaunti ya Lamu wametoa ushauri kwa wanaume wanaotawaliwa na kasumba ya taasubi ya kiume na kuwaambia...

Azziad ajigamba ni Gen Z hodari wa kukoroga lugha ya mama

NA FRIDAH OKACHI VIJANA wengi wa kizazi cha sasa almaarufu Gen Z na Millenial, mara nyingi hujifanya hawajui lugha ya kwanza...

Valentino: Wanaume wenye mabibi wengi wataka hakikisho SHIF itawajali

NA MAUREEN ONGALA WANAUME wenye wake kuanzia wawili kuendelea wameitaka Wizara ya Afya kueleza namna ambavyo familia zao zitafaidika...