• Nairobi
  • Last Updated March 28th, 2024 11:42 PM

Njaa inavyoweka kina mama na wasichana kwenye hatari ya dhuluma

NA OSCAR KAKAI BAA la njaa limewaweka akina mama na wasichana wengi katika maeneo kame ya wafugaji kwenye hatari ya maovu ya dhuluma za...

Madijei wanawake wanaowatoa wanaume jasho katika kucheza santuri

NA WANDERI KAMAU KUMEKUWA na dhana kwamba tasnia ya burudani, hasa utumbuizaji, hudhibitiwa na wanaume. Ni nadra sana kuwakuta...

Ndoa ikikataa imekataa, Akothee ashauri wanawake

NA FRIDAH OKACHI MWANAMUZIKI Esther Akoth Kokeyo almaarufu Akothee, amewashauri wanawake dhidi ya kusalia kwenye ndoa ambazo huwa tayari...

Kibarua cha kukabiliana na janga la ulevi Mlima Kenya

NA WANDERI KAMAU VIFO vya zaidi ya watu 10 katika Kaunti ya Kirinyaga wiki jana kutokana na pombe haramu, vimeibua kumbukumbu kuhusu vita...

Watanzania walemea Wakenya katika tuzo za Fasihi

NA WANDERI KAMAU WATANZANIA waling’aa kwenye mashindano ya 2023 ya Tuzo ya Fasihi ya Safal-Cornell, kwa kuibuka washindi kwenye vitengo...

Idadi ya vijana yapungua kanisani kwa kushurutishwa wavalie suti

NA FRIDAH OKACHI BAADHI ya viongozi wa makanisa mbalimbali nchini wanaendelea kutumia notisi na michoro ya picha za mavazi yasiyofaa...

Safari ya Lowassa kuanzia kuzaliwa hadi kuwania urais

NA MWANANCHI MWANASIASA Edward Lowassa ambaye aliaga dunia Jumamosi baada ya kuugua magonjwa ya kujikunja utumbo, matatizo ya mapafu na...

Ahadi ya Kindiki yakosa kurudisha wanafunzi shuleni

NA OSCAR KAKAI HATIMA ya mamia ya wanafunzi kutoka shule zilizoathiriwa na ujangili Pokot Magharibi haijulikani, baada ya kukosa kuripoti...

Sifa za ‘Lumumba’, fahali mpya wa kivita aliyeteuliwa na Khalwale

Na CHARLES WASONGA FAHALI aliyeteuliwa na Seneta wa Kakamega Boni Khalwale kujaza pengo lililoachwa wazi na 'Inasio' anasheheni sifa za...

Kilio cha mume mila kali ikimzuia kumzika mkewe wa kwanza

NA FRIDAH OKACHI Suala la mazishi katika jamii ya Abaluhya huzingirwa na tamaduni chungu nzima. Na mkanganyiko huwa mwingi zaidi,...

Itumbi asifiwa kwa kusimama na ‘rafikiye’ Jacque Maribe

NA FRIDAH OKACHI MSHAURI wa kisiasa katika Serikali ya Kenya Kwanza Dennis Itumbi amechangamsha wanamitandao kwa kupakia barua ndefu...

Jinsi Khalwale alivyotegua kitendawili cha familia pana

NA MARY WANGARI SENETA wa Kaunti ya Kakamega Boni Khalwale amezua gumzo nchini baada ya kuwatambulisha wake zake wanne akiwemo yule...