• Nairobi
  • Last Updated April 19th, 2024 6:55 PM

KAULI YA WALLAH: Harakati za kila mwanadamu ni kutafuta jinsi ya kuishi vizuri duniani

Na WALLAH BIN WALLAH TUSISAHAU na kujisahau kwamba shida ni nyingi kuliko furaha za dunia. Furaha ni chembechembe ndogo ukilinganisha na...

Dorcas Rigathi ampamba DP Gachagua kwa maneno matamu

NA FRIDAH OKACHI MKE wa Naibu Rais Rigathi Gachagua, Bi Dorcas Rigathi, amempamba mume wake kwa maneno matamu akiadhimisha siku yake ya...

Mkokoni: Mji wa mahasimu kujenga urafiki

NA KALUME KAZUNGU MKOKONI ni mmojawapo wa miji yenye sifa na historia pana Lamu. Ni mji unaopatikana Lamu Mashariki, karibu na mpaka...

Rais atumia ‘mkato’ kuwapa wakazi wa Maragua maji

NA MWANGI MUIRURI MBUNGE wa Maragua Mary wa Maua amesema wenyeji na wakazi wa eneobunge lake wana furaha kuu kwa kuwa Rais William...

Polisi walia kupunjwa fedha zao za sacco

WANDERI KAMAU Na NYABOGA KIAGE POLISI waliostaafu na wengine wanaoendelea kuhudumu katika Idara ya Polisi, wamekilaumu Chama cha Ushirika...

Nilishangaa mpenzi hataki tuonane usiku, kumuuliza akasema yeye huchuuza asali

SHANGAZI, Nimekuwa nikishangaa kwa nini mpenzi wangu hawezi kukubali tukutane usiku. Ameungama kuwa yeye ni kahaba na huwa kazini....

Zari asema hajaingiza mdudu kwa penzi la Mondi na Zuchu

NA FRIDAH OKACHI SOSHIOLAITI Zarinah Hassan ambaye wengi humuita Zari Hassan huku mwenyewe akipendelea kujiita Zari the Boss...

Jinsi wahubiri wanavyovuka mipaka kwa jina la kukemea pepo

NA WANDERI KAMAU KUIBUKA kwa video ya mhubiri Danson Gichuhi almaarufu 'Askofu Yohanna' akimpapasa mwanamke kwa njia tata akidai...

Polisi wafichua sababu nyeti za kuua washukiwa

NA MWANGI MUIRURI VIKOSI vya polisi nchini mara kwa mara hushutumiwa kwa kuwekeza bidii za utekelezaji sheria katika njia ya mkato ya...

Hofu biashara zenye hatari ya milipuko zikitapakaa mitaani

NA MWANGI MUIRURI MUUNGANO wa Wahandisi wa Upangaji Miji ya Kaunti (TCPAK) umetoa tahadhari kwamba wananchi katika maeneo yao ya makazi...

Magari ya umeme yanapunguza uharibifu wa mazingira na vifo, ripoti ya WHO yaonyesha

NA PAULINE ONGAJI NYUMBANI kwake katika mtaa wa Kawangware, Kaunti ya Nairobi, Bw Chris*, anajiandaa kuelekea kazini, ambapo anahudumu...

Uwezekano wa handisheki ya Ruto na Raila kuhusu AU bado wazua wasiwasi Mlimani

Na MWANGI MUIRURI LICHA ya eneo la Mlima Kenya kung’ang’ania kwamba Rais William Ruto asiwahi kuthubutu kujiingiza katika handisheki...