Na WALLAH BIN WALLAH TUSISAHAU na kujisahau kwamba shida ni nyingi kuliko furaha za dunia. Furaha ni chembechembe ndogo ukilinganisha na...
NA FRIDAH OKACHI MKE wa Naibu Rais Rigathi Gachagua, Bi Dorcas Rigathi, amempamba mume wake kwa maneno matamu akiadhimisha siku yake ya...
NA KALUME KAZUNGU MKOKONI ni mmojawapo wa miji yenye sifa na historia pana Lamu. Ni mji unaopatikana Lamu Mashariki, karibu na mpaka...
NA MWANGI MUIRURI MBUNGE wa Maragua Mary wa Maua amesema wenyeji na wakazi wa eneobunge lake wana furaha kuu kwa kuwa Rais William...
WANDERI KAMAU Na NYABOGA KIAGE POLISI waliostaafu na wengine wanaoendelea kuhudumu katika Idara ya Polisi, wamekilaumu Chama cha Ushirika...
SHANGAZI, Nimekuwa nikishangaa kwa nini mpenzi wangu hawezi kukubali tukutane usiku. Ameungama kuwa yeye ni kahaba na huwa kazini....
NA FRIDAH OKACHI SOSHIOLAITI Zarinah Hassan ambaye wengi humuita Zari Hassan huku mwenyewe akipendelea kujiita Zari the Boss...
NA WANDERI KAMAU KUIBUKA kwa video ya mhubiri Danson Gichuhi almaarufu 'Askofu Yohanna' akimpapasa mwanamke kwa njia tata akidai...
NA MWANGI MUIRURI VIKOSI vya polisi nchini mara kwa mara hushutumiwa kwa kuwekeza bidii za utekelezaji sheria katika njia ya mkato ya...
NA MWANGI MUIRURI MUUNGANO wa Wahandisi wa Upangaji Miji ya Kaunti (TCPAK) umetoa tahadhari kwamba wananchi katika maeneo yao ya makazi...
NA PAULINE ONGAJI NYUMBANI kwake katika mtaa wa Kawangware, Kaunti ya Nairobi, Bw Chris*, anajiandaa kuelekea kazini, ambapo anahudumu...
Na MWANGI MUIRURI LICHA ya eneo la Mlima Kenya kung’ang’ania kwamba Rais William Ruto asiwahi kuthubutu kujiingiza katika handisheki...