• Nairobi
  • Last Updated April 19th, 2024 7:55 PM

Uwezekano wa handisheki ya Ruto na Raila kuhusu AU bado wazua wasiwasi Mlimani

Na MWANGI MUIRURI LICHA ya eneo la Mlima Kenya kung’ang’ania kwamba Rais William Ruto asiwahi kuthubutu kujiingiza katika handisheki...

Alipata Ukimwi akifanya kazi Juba, sasa anahamasisha umma kujitunza na kukabili ueneaji

NA PETER CHANGTOEK MJA anapopimwa na kupatikana na virusi vya Ukimwi, aghalabu hukabiliwa na kiwewe asijue la kufanya. Ndiyo hali...

Kinachosababisha uvimbe kwenye sehemu za siri za akina dada

NA PAULINE ONGAJI Kama mwanamke, kuna uwezekano wa wakati mmoja kukumbwa na uvimbe unaojitokeza kila mara kwenye sehemu za siri. Ni jambo...

Wakenya watakuwa wakisifu na kutukana nani ili wachaguliwe 2027 Raila akienda AU?

NA MWANGI MUIRURI IKIWA kuna kitu kimewachanganya wanasiasa wa Kenya katika harakati za Raila Odinga kuwania kiti cha mwenyekiti wa tume...

Presha Gachagua aunge mkono Raila kuwa mwenyekiti wa AU

NA MWANGI MUIRURI SHINIKIZO zimezidi kumwandama Naibu wa Rais Rigathi Gachagua aunge mkono hadharani azima ya Raila Odinga kuteuliwa...

Charlene Ruto: Nataka mume atakayenisaidia kuhudumia vijana

FRIDAH OKACHI na MWANGI MUIRURI BINTIYE Rais William Ruto, Charlene Ruto ametangaza kwamba anatamani sana kupata mume atakayemsaidia...

Kijana anayeuguza majeraha baada ya kuvizia mke wa polisi 

NA MWANGI MUIRURI  POLISI katika Kaunti ya Embu wanachunguza kisa cha mnamo Jumapili, Februari 25, 2024 asubuhi ambapo mwanamume wa miaka...

Tanzia: Dunia yamwomboleza mwanamuziki Peter Morgan

NA WANDERI KAMAU DUNIA inaendelea kumwomboleza mwanamuziki-kiongozi wa kundi la Morgan Heritage kutoka Jamaica, Peter Morgan. Kundi...

Askofu Yohanna akiri ni mfuasi wa Arsenal na atazidi kutoa waumini wake mapepo  

NA MWANGI MUIRURI NI wiki moja sasa tangu mkanda wa video kuhusu askofu matata Danson Gichuhi, akijulikana vyema kama Yohanna ujitokeze...

Wachuuzi matapeli wanaouza samaki waliooza barabarani   

NA RICHARD MAOSI WASAFIRI wameomba serikali kupiga msasa wauzaji wa samaki, ikifichuka kuwa baadhi ya matapeli wanatumia fursa hiyo...

Vijana wanaounda mapambo kwa kutumia mifupa 

NA FRIDAH OKACHI NYAMA ni kitoweo chenye mashabiki wengi nchini, na inaposhabikiwa wengi hutupa mifupa. Wengine, huipa wanyama wa...

Simulizi ya mwanahabari aliyehudumu mochari na kuchuuza kondomu 

NA MWANGI MUIRURI ILI kutimiza ndoto yake ya kuwa mwanahabari, Mike Githuki, 39, alipitia njia ndefu iliyompitishia biashara ya magendo,...